Kuset standard ni suala la consistency, sio mwaka mmoja, labda kama huelewi maana yake 🤣Yanga ndio tunaenda kuset standard ya kabumbu la nchi hii, Achana na wale wazee wa kombe la robo fainali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe Simba ipo no 1 Afrika?? Na hamsemi??Hivi mtoto kama alikuwa wa kwanza darasni term iliyopita, na akawa wa kwanza tena term hii, utamlaumu kwa kubaki pale pale? Asogee kwenda wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nukuu:
"Nasikitika kuwataarifu ndugu zangu Watanzania kua wenye akili Uto bado ni wale wale wawili." - Cvez, JF Member
Wabaki na robo fainali yaoStandard zilishawekwa miaka minne Kwa kuchukua kombe la robo fainali[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Ok kama kwenu nyie iyo robo ndio standard, basi ibaki hivyo [emoji23][emoji23], sisi tutaweka standard tofauti na iyo na ndio itatumika kwa timu yoyote yenye kutafuta mafanikio
Unafikiri Berkane aliibuka tu mwaka mmoja? Hebu uliza tukuonyeshe CAF inavyopiga hesabu ya miaka mitanoberkane bingwa mtetezi wa kombe la looser amefikaje hapo top ten?
kujitoa akili inahitaji moyo
Hamna lolote la kushikika kimataifa,hamna kombe Wala medali mezidiwa mpaka na yule looser yuliyempiga nje ndaniKaka amka basi usingizini
Angalia watoto watakucheka🤣🤣🤣
Mzee una mipango ya mbali, yaani unaweka hadi imagination kwamba mtakapochukua kombe itakuwaje! 🤣Wabaki na robo fainali yao, Waombe Mungu tusichukue lile kombe, Tukichukua watabaki na tambo Gani tena !?
Unamaanisha TP Wazembe?Hamna lolote la kushikika kimataifa,hamna kombe Wala medali mezidiwa mpaka na yule looser yuliyempiga nje ndani
Mkuu haya mambo ya standard yamekuzidi uwezo, ungebakia tu kulekule kwenye mtoto akishakuwa nafasi ya kwanza hawezi kupanda zaidi, maana ndipo ilipofikia Simba[emoji23][emoji23][emoji23]Kuset standard ni suala la consistency, sio mwaka mmoja, labda kama huelewi maana yake [emoji1787]
Timu kama TP Mazembe ilishaset standard, kufika nusu fainali ilikuwa ni kawaida. Hiyo ni kutokana na consistency ya miaka kadhaa mfululizo. Huwezi ukakurupuka na mwaka wako mmoja ukaja kuwaambia watu eti umest standard 🤣Yanga ndio tunaenda kuset standard ya kabumbu la nchi hii, Achana na wale wazee wa kombe la robo fainali
Angetufunga msingesema hivyoUnamaanisha TP Wazembe?
Au unadhani ni standard seven? 🤣🤣🤣Mkuu haya mambo ya standard yamekuzidi uwezo, ungebakia tu kulekule kwenye mtoto akishakuwa nafasi ya kwanza hawezi kupanda zaidi, maana ndipo ilipofikia Simba[emoji23][emoji23][emoji23]
Ebooo? Simba number 1 Afrika? Labda Afrika sanaHivi mtoto kama alikuwa wa kwanza darasni term iliyopita, na akawa wa kwanza tena term hii, utamlaumu kwa kubaki pale pale? Asogee kwenda wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nukuu:
"Nasikitika kuwataarifu ndugu zangu Watanzania kua wenye akili Uto bado ni wale wale wawili." - Cvez, JF Member
Naweka mipango Kwa kuwa hata nyie hakuna mlichoshinda kimataifa iwe ni CL au CCMzee una mipango ya mbali, yaani unaweka hadi imagination kwamba mtakapochukua kombe itakuwaje! 🤣
Inahitajika elimu ya darasani kuuelewa hii analogyEbooo? Simba number 1 Afrika? Labda Afrika sana
najua kila kitu unioneshe nini wewe kilaza?Unafikiri Berkane aliibuka tu mwaka mmoja? Hebu uliza tukuonyeshe CAF inavyopiga hesabu ya miaka mitano
Umeweka standard na haujafika destination [emoji848][emoji848] Rage alikuwa very rightTimu kama TP Mazembe ilishaset standard, kufika nusu fainali ilikuwa ni kawaida. Hiyo ni kutokana na consistency ya miaka kadhaa mfululizo. Huwezi ukakurupuka na mwaka wako mmoja ukaja kuwaambia watu eti umest standard [emoji1787]
Sasa kama unajua unalinganishaje Yanga na Berkane? Manara ajengewe mnara katikati ya Msimbazi na jangwani, maana idadi ya wawili hata haiongezekinajua kila kitu unioneshe nini wewe kilaza?
Hivi mnara wa Rage, Luc Eymael na Manara, upi utavutia watu wengi? 🤣 🤣 🤣Umeweka standard na haujafika destination [emoji848][emoji848] Rage alikuwa very right
yupo top ten hapo mkuu je nyie wafuasi wa juma bonge mpo top 5? na kwa lipi?Kachukua mara ngapi?mbona hafiki hata tano bora?
Uto ndio ufala wao huu sasa,yaani wanashindana na ambaye hamfikirii kabisaWakati ukijisifia kutoka nafasi ya 78 hadi 28
Simba ipo nafasi ya 8