Yanga kusare 1-1 na Marumo

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Jumatano hii yanga itashuka dimbani kukipiga na marumo mchezo wa pili wa nusu fainali. Habari njema nikuwa yanga watafanikiwa kupata sare na kusonga mbele kwenye michuano ya Kombe la shirikisho barani Africa.
 
Jumatano hii yanga itashuka dimbani kukipiga na marumo mchezo wa pili wa nusu fainali. Habari njema nikuwa yanga watafanikiwa kupata sare na kusonga mbele kwenye michuano ya Kombe la shirikisho barani Africa.
Mtabiri tambitambi[emoji23][emoji23]
 

Attachments

  • Screenshot_20230515-205919.jpg
    52.9 KB · Views: 2
Alisema kuwa Simba itatoa sare ya 1 kwa 1 kwa Mkapa, pia alisema Yanga atafungwa goli mbili na rivers. Aliyopatia ni ile aliyosema Simba ijiandae kwa penati.
 
Sawa mtabiri kuna muda hua unapatia Ila this time mh sijui...
 
Yanga wanafunga si chini ya goli 2. Tena kipindi cha kwanza... Marumo wanaweza kupata goli moja kwa bahati sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…