Yanga kusheherekea kuingia fainali CAF (Caf final pre party), Manara ataongea

Yanga kusheherekea kuingia fainali CAF (Caf final pre party), Manara ataongea

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Ujue ile billions 12 ya sportspesa imejumuisha kama watachukua ubingwa wa Afrika lakini hilo halisemwi ,wewe unaweza kuogopa ila wajuba wa jangwani/ salamander mwaka huu wamesema wanatoboa hadi fainali ya CAf champions league ndiyo maana boss kubwa lao lishaahidi billion moja kwa hilo.

Tarehe 6 siku ya mwananchi...mbali na shughuli zoooote hizo ila the greatest Hajj manara, afisa habari bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania, mtu mnyenyekevu, mstaarabu, mpangilia hoja, msomi mwenye degree mbili kutoka south africa na china atapanda jukwaani kama mfanyakazi wa GSM siyomsemaji wa yanga ili kushangilia na wana yanga in advance kufanikiwa kwao kuingia fainali ya afrika na fataki zitapigwa juu kushangilia mafanikio hayo.

Pia kareem mandonga atatangazwa kama balozi wa club na anawakilisha yule bondia aliyepo kwenye logo kama unavyoona hapa kwenye picha kasimamishwa kuendana na kilichopo kwenye logo..bado mcheza netball hajapatikana.

mandonga 3.jpg
 
Uyo wa upande wa kulia kwa mandonga ndy wa netball??
 
Sijawahi kuona mtu anasherehekea ushindi kabla ya vita haijaisha.
Ajabu zaidi, kusherehekea ushindi kabla ya vita haijaanza. Mpira wa champions league ni dk. 180, na ndani ya dk. hizo lolote linaweza kutokea. Ushindi una mambo mengi ukiachana na usajili mzuri vinginevyo Al ahly asingekuwa anafungwa.
 
Na hapo kwenye logo ya huyo mwanamke anayecheza Mpira angeweka Mama J
 
Ujue ile billions 12 ya sportspesa imejumuisha kama watachukua ubingwa wa Afrika lakini hilo halisemwi ,wewe unaweza kuogopa ila wajuba wa jangwani/ salamander mwaka huu wamesema wanatoboa hadi fainali ya CAf champions league ndiyo maana boss kubwa lao lishaahidi billion moja kwa hilo.

Tarehe 6 siku ya mwananchi...mbali na shughuli zoooote hizo ila the greatest Hajj manara, afisa habari bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania, mtu mnyenyekevu, mstaarabu, mpangilia hoja, msomi mwenye degree mbili kutoka south africa na china atapanda jukwaani kama mfanyakazi wa GSM siyomsemaji wa yanga ili kushangilia na wana yanga in advance kufanikiwa kwao kuingia fainali ya afrika na fataki zitapigwa juu kushangilia mafanikio hayo.

Pia kareem mandonga atatangazwa kama balozi wa club na anawakilisha yule bondia aliyepo kwenye logo kama unavyoona hapa kwenye picha kasimamishwa kuendana na kilichopo kwenye logo..bado mcheza netball hajapatikana.

View attachment 2311979
Mandonga mtu kazi kweli alichezea kichapo ...uso umeumuka
 
Back
Top Bottom