Yanga kushindwa kutinga robo fainali sababu kubwa

Acha kuandika utopolo basi aisee....
 
Hakuna mechi ngumu kama ili ubaki mashindanoni lazima yafuatayo yote yawe TRUE;
  • Ushinde next match
  • Timu nyingine (closest rival) kwenye group ishindwe
Ni mtihani sana. The only advantage waliyokuwa nayo Yanga jana ni "kucheza nyumbani"!
 
Ukweli mchungu huu.
 
Al ahly kwenye haya mashindano huwa hachezi kuongoza kundi mzee yeye anachoangaliaga ni kufuzu tu moto wake huwa ni kwenye mtoano sahivi ahangaike nini wakati robo anapewa hilal mchovu mnamuona yuleeee Nusu anapepea
 
PUMBA
 
Nawambia mapema nyuma mwiko...
Safari hii Simba itawadhalilisha
Kama niliposema robo hamuendi..kaeni na hii copy kuwaa Safar hii mtadhalilika utopolo nyiee.
##Mwakakundi##
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…