Walifanyie kazi kwa kweli. Haipendezi.
Hongera kwa kuingia taifa kwa mara ya kwanza. Kwani matokeo yalikuwaje?Wakuu wasalaam,
Kwa heshima na taadhima naomba kuuliza kwa mwenye kufahamu hii kitu leo nilikuwepo uwanja wa taifa kushuhudia mechi ya yanga na mwadui nimeona ajabu timu kubwa kama yanga kutoandika majina katika jezi zake je ni makusudi au mdhamini hana pesa ya ku print mbona mbele ya jezi zina nembo kulikoni.....?
Tatizo wanataka mchezaji akiondoka aache jezi ivaliwe na mwingineYanga sio leo tu, Mara nyingi huwa hawaandiki majina. Sijui tatizo ni nini
Mashabiki wa Yanga wanahitaji matokeo na si upuuzi kama wa Kichuya jina kubwa kwenye jezi uwanjani anakata viuno tu hana lolote.Wakuu wasalaam,
Kwa heshima na taadhima naomba kuuliza kwa mwenye kufahamu hii kitu leo nilikuwepo uwanja wa taifa kushuhudia mechi ya yanga na mwadui nimeona ajabu timu kubwa kama yanga kutoandika majina katika jezi zake je ni makusudi au mdhamini hana pesa ya ku print mbona mbele ya jezi zina nembo kulikoni.....?
Ametaka tujue naye kaingia Uwanja wa Taifa. Hana jipya!Hongera kwa kuingia taifa kwa mara ya kwanza. Kwani matokeo yalikuwaje?
Hahahahaha hata mm nadhani ndiyo sababuTatizo wanataka mchezaji akiondoka aache jezi ivaliwe na mwingine
Sent from my Lenovo A2010-a using JamiiForums mobile app
Mashabiki wa Yanga wanahitaji matokeo na si upuuzi kama wa Kichuya jina kubwa kwenye jezi uwanjani anakata viuno tu hana lolote.
HUYU JAMAA ANADHANI KUWA JEZI ZA YANGA ZIKIANDIKWA MAJINA BASI NA MAKALI YA YANGA SC NAYO YATAONGEZEKA......Matokeo muhimu kwetu sio majina, na wala sitaki waandike maana watani wetu wameanxa mda kuandika lkn matokeo yao 0
Walishinda au hawakushinda? Wanaongoza ligi au hawaongozi? Mengine hayo hayakuhusu, au huwajui wachezaji ulitaka jezi zikusaidie.