Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Tena mi nataka wasivae kabisa hizo fulana,watu wa mikia wachawi sana kwan hatujui?no majina kwenye jezi sijui mtalogaje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unaweza kumfikia mwambie aache kufuata mkumboALIKUWA ANAWAONA TU KWENYE MAGAZETI HIVYO BAADA YA KUPATA NAFASI KWA MARA YA KWANZA KUINGIA TAIFA ALIPENDELEA AWAONE KWA MACHO NA KUTHIBITISHA KWA MAJINA YAO YA MGONGONI....
Daaahh!
Wakuu wasalaam,
Kwa heshima na taadhima naomba kuuliza kwa mwenye kufahamu hii kitu leo nilikuwepo uwanja wa taifa kushuhudia mechi ya yanga na mwadui nimeona ajabu timu kubwa kama yanga kutoandika majina katika jezi zake je ni makusudi au mdhamini hana pesa ya ku print mbona mbele ya jezi zina nembo kulikoni.....?
Kingine kilichonoshangaza jana ni hiki, Yanga walishona nembo ya mdhamini kampuni ya VODACOM juu ya nembo ya CAF. Hii inaaminsha Yanga hawakuwa na jezi wakaamua kutumia jezi ambazo walipewa na CAF ili watumie kwenye michuano ya Kimataifa.
View attachment 465265
Mdhamini si ndio huyo Vodacom....Kumbuka sheria inazitaka timu zote kuvaa jezi zenye nembo ya mdhamini. Mwaka 2015 timu ya Simba ilipigwa faini ya Tsh milioni 3 kwa kutovaa jezi zenye nembo ya mdhamini.
View attachment 465265
Mikia wanataka kamati yao pendwa ya masaa 72 ihipore Yanga pointi za mchezo wa jana sbb ya jezi za caf l [emoji23] [emoji23]Mdhamini si ndio huyo Vodacom....
Au huoni nembo ya Vodacom kwenye paji la Mkono?
Tuambie basi kama tatizo lako ni ile nembo kukaa juu ya nembo ya CAF..
Duh! aisee...Mikia wanataka kamati yao pendwa ya masaa 72 ihipore Yanga pointi za mchezo wa jana sbb ya jezi za caf l [emoji23] [emoji23]
Nilichoeleza ni kile kile ambacho Waingereza walishangazwa kuhusu Arsenal kutumia begi lenye nembo ya UEFA kwenye local league. Mimi ni shabiki wa Yanga kuliko unavyofikiria, sio shabiki wa mihemko na ndio maana kwenye ukweli tunasema ukweli.Mdhamini si ndio huyo Vodacom....
Au huoni nembo ya Vodacom kwenye paji la Mkono?
Tuambie basi kama tatizo lako ni ile nembo kukaa juu ya nembo ya CAF..
Fuatilia kisa cha Orlando Pirates kutumia jezi zenye nembo ya Vodacom South Africa kwenye michuano ya CAF.MKUU
naomba nikutoe tongotongo kidogo!
''CAF haitoi jezi kwa timu shiriki za Michuano yake!''
Mshabiki wa kweli wa Yanga leo ni siku ya furaha kwakwe na kuwacheka kwa dharau mikia.Nilichoeleza ni kile kile ambacho Waingereza walishangazwa kuhusu Arsenal kutumia begi lenye nembo ya UEFA kwenye local league. Mimi ni shabiki wa Yanga kuliko unavyofikiria, sio shabiki wa mihemko na ndio maana kwenye ukweli tunasema ukweli.
Ndio maana nikasema mimi sio shabiki mihemko. Siwezi kuanza kuongelea ya Simba ilhali ya Yanga hayajakaa sawa.Mshabiki wa kweli wa Yanga leo ni siku ya furaha kwakwe na kuwacheka kwa dharau mikia.
Nilitegemea uanzishe thread isemayo hivi Mavugo na Kichuya hivi bado wapo Simba au wapo likizo?
Ni kweli wewe si shabiki bali ni mamluki tu, kuichukia Yanga kwa sasa ni kujitafutia vidonda vya tumbo bure tu.Ndio maana nikasema mimi sio shabiki mihemko. Siwezi kuanza kuongelea ya Simba ilhali ya Yanga hayajakaa sawa.
Shukrani.Ni kweli wewe si shabiki bali ni mamluki tu, kuichukia Yanga kwa sasa ni kujitafutia vidonda vya tumbo bure tu.
Baada ya santuri ya mikia kutwaa ubingwa kuchuja mmegeukia mipasho! Mikia fc litimu la hovyo kweli kweli kama walivyo mashabiki wakeKingine kilichonoshangaza jana ni hiki, Yanga walishona nembo ya mdhamini kampuni ya VODACOM juu ya nembo ya CAF. Hii inaaminsha Yanga hawakuwa na jezi wakaamua kutumia jezi ambazo walipewa na CAF ili watumie kwenye michuano ya Kimataifa.
Kumbuka sheria inazitaka timu zote kuvaa jezi zenye nembo ya mdhamini. Mwaka 2015 timu ya Simba ilipigwa faini ya Tsh milioni 3 kwa kutovaa jezi zenye nembo ya mdhamini.
View attachment 465265
Aise..Baada ya santuri ya mikia kutwaa ubingwa kuchuja mmegeukia mipasho! Mikia fc litimu la hovyo kweli kweli kama walivyo mashabiki wake
Wapuuzi kabisa hawa mikia. Kelele zote mjini kwishney.Baada ya santuri ya mikia kutwaa ubingwa kuchuja mmegeukia mipasho! Mikia fc litimu la hovyo kweli kweli kama walivyo mashabiki wake
sipingi hoja yako!Nilichoeleza ni kile kile ambacho Waingereza walishangazwa kuhusu Arsenal kutumia begi lenye nembo ya UEFA kwenye local league. Mimi ni shabiki wa Yanga kuliko unavyofikiria, sio shabiki wa mihemko na ndio maana kwenye ukweli tunasema ukweli.