Yanga kuwakosa baadhi ya Nyota Wao Muhimu kuelekea Fainali ya FA Cup

Yanga kuwakosa baadhi ya Nyota Wao Muhimu kuelekea Fainali ya FA Cup

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
NYOTA KADHAA WA KIMATAIFA YANGA WATAIKOSA FAINALI TANGA, Klabu ya Yanga itawakosa Fiston Mayele na Stephen Aziz Ki ambao wameitwa kwenye timu zao za taifa kuelekea kalenda ya FIFA, huku wakiwa wameondoka mapema leo kwenda kwenye majukumu yao.

Kama hivyo haitoshi Yanga ilipambana kuhakikisha angalau Djigui Diarra wa Mali, Kennedy Musonda wa Zambia na Khalid Aucho wa Uganda waweze kusalia kambini kucheza fainali ila nao imeshindikana kwa Diarra na Musonda kwakuwa Mashirikisho yao yamekaza ni Uganda pekee wameridhia Aucho aripoti baada ya fainali kwakuwa sio mbali. Kwanini imetokea hivyo?

Ni kuwa fainali ya FA CUP imepangwa muda ambao kalenda ya FIFA inaanza, huku inafahamika kuwa wachezaji walioitwa timu zao za taifa ni mali ya Federation hivyo kutoripoti mapema kambini ni kosa ambalo Mchezaji anaweza kukumbana na adhabu, huku kwenye kalenda rasmi huu ni wakati wa mechi za Kimataifa.

Mpaka hivi sasa Mali na Zambia tayari wametuma tiketi kwa Wachezaji wao na wanahitaji waliripoti kabla leo haijapita kambini, nje na hapo Yanga wamepewa taarifa Wachezaji hawatopokelewa na adhabu stahiki zitachukuliwa kwa Wachezaji. Maswali kichwani mwa Yanga mpaka hivi sasa ni je?

Yanga watakaidi amri na kuwatumia wachezaji hao kesho na kupokea adhabu? Ndicho kinasubiriwa mpaka hivi sasa, chanzo changu bado hakijapata maamuzi ya mwisho ya Yanga. Hizi ni taarifa ambazo nimezipata kutoka kwa vyanzo vyangu hivyo uwezekano ni rotation kubwa ya kikosi kwa Yanga hapo kesho.

65518BA2-6619-48EC-967A-60D76C09EECE.jpeg
 
Y
NYOTA KADHAA WA KIMATAIFA YANGA WATAIKOSA FAINALI TANGA, Klabu ya Yanga itawakosa Fiston Mayele na Stephen Aziz Ki ambao wameitwa kwenye timu zao za taifa kuelekea kalenda ya FIFA, huku wakiwa wameondoka mapema leo kwenda kwenye majukumu yao. Kama hivyo haitoshi Yanga ilipambana kuhakikisha angalau Djigui Diarra wa Mali, Kennedy Musonda wa Zambia na Khalid Aucho wa Uganda waweze kusalia kambini kucheza fainali ila nao imeshindikana kwa Diarra na Musonda kwakuwa Mashirikisho yao yamekaza ni Uganda pekee wameridhia Aucho aripoti baada ya fainali kwakuwa sio mbali. Kwanini imetokea hivyo? Ni kuwa fainali ya FA CUP imepangwa muda ambao kalenda ya FIFA inaanza, huku inafahamika kuwa wachezaji walioitwa timu zao za taifa ni mali ya Federation hivyo kutoripoti mapema kambini ni kosa ambalo Mchezaji anaweza kukumbana na adhabu, huku kwenye kalenda rasmi huu ni wakati wa mechi za Kimataifa. Mpaka hivi sasa Mali na Zambia tayari wametuma tiketi kwa Wachezaji wao na wanahitaji waliripoti kabla leo haijapita kambini, nje na hapo Yanga wamepewa taarifa Wachezaji hawatopokelewa na adhabu stahiki zitachukuliwa kwa Wachezaji. Maswali kichwani mwa Yanga mpaka hivi sasa ni je? Yanga watakaidi amri na kuwatumia wachezaji hao kesho na kupokea adhabu? Ndicho kinasubiriwa mpaka hivi sasa, chanzo changu bado hakijapata maamuzi ya mwisho ya Yanga. Hizi ni taarifa ambazo nimezipata kutoka kwa vyanzo vyangu hivyo uwezekano ni rotation kubwa ya kikosi kwa Yanga hapo kesho.

View attachment 2653776
Bonyeza 0123456789 kupata vichekesho hivi.

Bongo pekee ndiyo kila Mtu aliyejiokotea taarifa za vijiweni ana chanzo cha habari rasmi.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Y
NYOTA KADHAA WA KIMATAIFA YANGA WATAIKOSA FAINALI TANGA, Klabu ya Yanga itawakosa Fiston Mayele na Stephen Aziz Ki ambao wameitwa kwenye timu zao za taifa kuelekea kalenda ya FIFA, huku wakiwa wameondoka mapema leo kwenda kwenye majukumu yao. Kama hivyo haitoshi Yanga ilipambana kuhakikisha angalau Djigui Diarra wa Mali, Kennedy Musonda wa Zambia na Khalid Aucho wa Uganda waweze kusalia kambini kucheza fainali ila nao imeshindikana kwa Diarra na Musonda kwakuwa Mashirikisho yao yamekaza ni Uganda pekee wameridhia Aucho aripoti baada ya fainali kwakuwa sio mbali. Kwanini imetokea hivyo? Ni kuwa fainali ya FA CUP imepangwa muda ambao kalenda ya FIFA inaanza, huku inafahamika kuwa wachezaji walioitwa timu zao za taifa ni mali ya Federation hivyo kutoripoti mapema kambini ni kosa ambalo Mchezaji anaweza kukumbana na adhabu, huku kwenye kalenda rasmi huu ni wakati wa mechi za Kimataifa. Mpaka hivi sasa Mali na Zambia tayari wametuma tiketi kwa Wachezaji wao na wanahitaji waliripoti kabla leo haijapita kambini, nje na hapo Yanga wamepewa taarifa Wachezaji hawatopokelewa na adhabu stahiki zitachukuliwa kwa Wachezaji. Maswali kichwani mwa Yanga mpaka hivi sasa ni je? Yanga watakaidi amri na kuwatumia wachezaji hao kesho na kupokea adhabu? Ndicho kinasubiriwa mpaka hivi sasa, chanzo changu bado hakijapata maamuzi ya mwisho ya Yanga. Hizi ni taarifa ambazo nimezipata kutoka kwa vyanzo vyangu hivyo uwezekano ni rotation kubwa ya kikosi kwa Yanga hapo kesho.

View attachment 2653776

Sidhani kama haya ni mambo ya On ans Off kama ndoa, kuna majadiliano, wachezaji hawawezi tu kuwa bora halafu wewe uwatake kama mizoga, lazima kuna majadiliano
 
Sasa Azizi Ki naye ni wakumpigia mahesabu kama hoja ya kuonesha gape?

Au mnatafuta excuse tu na nyinyi muonekano mnalakujitetea iwapo matokeo yakaja against?

Mechi ya hapa kwa Mkapa dhidi ya USM ALGER mmesahau kwamba huyu jamaa ndio aliwafanya muonekane mpo 10 uwanjani.
 
Naye huyo mwingine naye hamna kitu sema anapenda mno uspoon
 
Sidhani kama haya ni mambo ya On ans Off kama ndoa, kuna majadiliano, wachezaji hawawezi tu kuwa bora halafu wewe uwatake kama mizoga, lazima kuna majadiliano
Shirikisho likikutaka limekutaka..hakuna majadiliano.

Msijitese na kujadili ujinga.

Kila aliyeitwa ni lazima aende. Ukikaidi cha moto utakiona..na FIFA itakushughulikia vilivyo

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Acha waende tu wakashiriki timu zao za taifa bado tuna wachezaji wengi na wanahitaji mapumziko pia kwa ajili ya msimu mpya
 
Sasa Azizi Ki naye ni wakumpigia mahesabu kama hoja ya kuonesha gape?

Au mnatafuta excuse tu na nyinyi muonekano mnalakujitetea iwapo matokeo yakaja against?

Mechi ya hapa kwa Mkapa dhidi ya USM ALGER mmesahau kwamba huyu jamaa ndio aliwafanya muonekane mpo 10 uwanjani.
Umesahau kuwa aliwakanda
 
Back
Top Bottom