Yanga kuweni makini, baada ya makelele kwa marefa sasa Wasaidizi ndio wanaenda kuharibu mechi yetu. Msijisahau

Yanga kuweni makini, baada ya makelele kwa marefa sasa Wasaidizi ndio wanaenda kuharibu mechi yetu. Msijisahau

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
BAADA ya MAKELELE kwa marefa na baadhi yao kuanza kuchezesha bila penalty Wala REDcard

Sasa kuna plan "B" inakuja dhidi ya tar 8

Refa atachezZesha vizuri sana na hakuna AMBAE atatoka akimlalamkia

Kinachokuja mjiandae na WASAIDIZI WAMEJIPANGA na wamepangwa kuwaumiza

Na njia Moja wapo n offside /FOULS

Hasa pale mnapoenda kwenye GOLI LA wapinzani

Mkiona kibendera mara kwa mara mkumbuke hili kazi imeaanza na cha kufanya

Msireact chezeni kama mmetumwa helà uwanjan...unless pale panapopitiliza kiwasheni

Mkikaaa kimya wamepangwa KUWATESA sana ...na hili n ktk kupunguza magoli YENU kwa Simba sikuhio

Simba inajua inafungwa sema inatafyta huruma kupitia Hawa kupunguza idadi ya magoli

Kingine NAWAASA pale mnaweza kupiga mashuti ya mbali fanyeni hivyooooo

Hii n kuwajuza kuna foul nyingi zitapigwa filimbi MKIWA 18 yah Simba na hii n kuwakayTsha TAMAA

Mwisho nawatakia all dbest
 
Timu hamjiamini kwani mnajua ushindi mnaupata nje ya uwanja.

Ni nani wa kumzuia Kibu na Mpanzu kuingia kwenye box?

Chezeni uhuni tutaona safari hii kama kayoko atarudia kutunyima penalty
 
Mnawaza simba na Yanga tu inasikitisha mno.

" Hakuna umasikini mbaya kama Umasikini wa Fira"

MWALIMU JK NYERERE
 
1000251360.jpg
 
BAADA ya MAKELELE kwa marefa na baadhi yao kuanza kuchezesha bila penalty Wala REDcard

Sasa kuna plan "B" inakuja dhidi ya tar 8

Refa atachezZesha vizuri sana na hakuna AMBAE atatoka akimlalamkia

Kinachokuja mjiandae na WASAIDIZI WAMEJIPANGA na wamepangwa kuwaumiza

Na njia Moja wapo n offside /FOULS

Hasa pale mnapoenda kwenye GOLI LA wapinzani

Mkiona kibendera mara kwa mara mkumbuke hili kazi imeaanza na cha kufanya

Msireact chezeni kama mmetumwa helà uwanjan...unless pale panapopitiliza kiwasheni

Mkikaaa kimya wamepangwa KUWATESA sana ...na hili n ktk kupunguza magoli YENU kwa Simba sikuhio

Simba inajua inafungwa sema inatafyta huruma kupitia Hawa kupunguza idadi ya magoli

Kingine NAWAASA pale mnaweza kupiga mashuti ya mbali fanyeni hivyooooo

Hii n kuwajuza kuna foul nyingi zitapigwa filimbi MKIWA 18 yah Simba na hii n kuwakayTsha TAMAA

Mwisho nawatakia all dbest
Naona Mwiko umeanza kukoroga mavi huko nyuma mapema sana, yaani vyovyote vile kipigo mtakipata tu
 
Timu hamjiamini kwani mnajua ushindi mnaupata nje ya uwanja.

Ni nani wa kumzuia Kibu na Mpanzu kuingia kwenye box?

Chezeni uhuni tutaona safari hii kama kayoko atarudia kutunyima penalty
Bado amjawa na timu ya kupimana ubavu na yanga ni Bora mkajilinde tu mkirogwa kupishana na yanga mtakiona cha mtema kuni
 
Bado amjawa na timu ya kupimana ubavu na yanga ni Bora mkajilinde tu mkirogwa kupishana na yanga mtakiona cha mtema kuni
Tulisha kubaliana kwamba sisi Simba sc bado tunajenga timu. yanga mje na matokeo yenu mfukoni mjiachie tu hiyo tarehe 8.
 
Tulisha kubaliana kwamba sisi Simba sc bado tunajenga timu. yanga mje na matokeo yenu mfukoni mjiachie tu hiyo tarehe 8.
Akuna cha kujenga timu hapo ukipigwa ni umepigwa kwa kuzidiwa ubora na mambo ya kimbinu na sio kujificha kwenye kichaka cha kujenga timu
 
Tulisha kubaliana kwamba sisi Simba sc bado tunajenga timu. yanga mje na matokeo yenu mfukoni mjiachie tu hiyo tarehe 8.

Tunajenga timu , na inavyoelekea safari hii tutaijengea kwa Utopolo...!

Jiandaeni Kisaikolojia
 
Bado amjawa na timu ya kupimana ubavu na yanga ni Bora mkajilinde tu mkirogwa kupishana na yanga mtakiona cha mtema kuni

Tunaijenga timu bado..! Na safari hii inavyoelekea tutaijengea kwa Utopolo hiyo March 8, 2025

Mpaka mje siku moja mshituke kuwa timu utopolo imejaa Wazee..!
 
Tunaijenga timu bado..! Na safari hii inavyoelekea tutaijengea kwa Utopolo hiyo March 8, 2025

Mpaka mje siku moja mshituke kuwa timu utopolo imejaa Wazee..!
Wazee wamekupelekea moto mara 4 mfululizo na vijana wako sasa unapata wapi jeuri ya kuwaita wazee? Kama ni hivyo basi wazee wanafaa sana kwenye timu!
 
Wazee wamekupelekea moto mara 4 mfululizo na vijana wako sasa unapata wapi jeuri ya kuwaita wazee? Kama ni hivyo basi wazee wanafaa sana kwenye timu!

Miaka imesha taradadi bwashee , Waliwahi kuwa vijana huko nyuma Sasa ni Wazee..!!

Hawa Kwa sasa Wanafaa kucheza mechi za Veterani..!

CAF CL...umeshatolewa nje , hujafika Robo...! Ni Aibu Kwa Uto.

Kete yako pekee ni tarehe 8, baada ya hapo tutaimba Kalale pema peponi Kamanda..!
 
Subiri mshooono uje hapa ta 9
GOLI n 1-4
Hii weka kwenye diary yakoooo

Mtajua hamjuui
 
Back
Top Bottom