Yanga kuweni makini, baada ya makelele kwa marefa sasa Wasaidizi ndio wanaenda kuharibu mechi yetu. Msijisahau

Yanga kuweni makini, baada ya makelele kwa marefa sasa Wasaidizi ndio wanaenda kuharibu mechi yetu. Msijisahau

Subiri mshooono uje hapa ta 9
GOLI n 1-4
Hii weka kwenye diary yakoooo

Mtajua hamjuui
1000251775.jpg

Jana tumedili na mganga wa gsm tarehe nane tutadili na mganga wa mwiko nyuma yule wa pangani atupe baharini kabsa matunguri yake
 
KUNA jamaa ANASEMA mpaka sasa wametumwa watu ZNZ Tanga ukerewe na kigoma
Kila anaeguswaa anawajibu haisomeki wawape mda nikawambia hao wanasubiria tar 7 wawalie mzigoo wenu mjue mnashinda

KIPIGO Kiko pale pale MKONO mara ya tanooo
Kiganja kiganjani
 
Akuna cha kujenga timu hapo ukipigwa ni umepigwa kwa kuzidiwa ubora na mambo ya kimbinu
Utopwinyo mlizidiwa ubora na wale waarabu na safari yenu ikaishia makundi...

Walioingia robo fainali hao ndio wakali wa boli Mr 🐸
 
Miaka imesha taradadi bwashee , Waliwahi kuwa vijana huko nyuma Sasa ni Wazee..!!

Hawa Kwa sasa Wanafaa kucheza mechi za Veterani..!

CAF CL...umeshatolewa nje , hujafika Robo...! Ni Aibu Kwa Uto.

Kete yako pekee ni tarehe 8, baada ya hapo tutaimba Kalale pema peponi Kamanda..!
Basi tuliza kende akuna haja ya maneno mengi subilia iyo trh 8 itajulikana wazee na vijana nani mbabe!
 
Ilikuwaje utopwinyo mkakomalia women cup hadi fainali?

🐸🐸Katika uzuzu wenu
Tulikomalia na tukafika fainali cha ajabu unapiga makelele kwa kuingia robo utadhani ni jambo jipya,,wenzio walicheza fainali ya iyo wamama cup na wewe kama unayo timu fika fainali tuone
 
KUNA jamaa ANASEMA mpaka sasa wametumwa watu ZNZ Tanga ukerewe na kigoma
Kila anaeguswaa anawajibu haisomeki wawape mda nikawambia hao wanasubiria tar 7 wawalie mzigoo wenu mjue mnashinda

KIPIGO Kiko pale pale MKONO mara ya tanooo
Kiganja kiganjani
Bahasha imetembea kwa waamuz wa pembeni mna uhakika na ushindi sio
 
H
Tulikomalia na tukafika fainali cha ajabu unapiga makelele kwa kuingia robo utadhani ni jambo jipya,,wenzio walicheza fainali ya iyo wamama cup na wewe kama unayo timu fika fainali tuone
Ahaaahaaa wamama mkakomalia kombe la wamama halafu hamkulipata 😬😬

Ilikuwaje mkashindwa kulipata kombe la wamama?
 
Back
Top Bottom