Yanga kuweni makini, baada ya makelele kwa marefa sasa Wasaidizi ndio wanaenda kuharibu mechi yetu. Msijisahau

KUNA jamaa ANASEMA mpaka sasa wametumwa watu ZNZ Tanga ukerewe na kigoma
Kila anaeguswaa anawajibu haisomeki wawape mda nikawambia hao wanasubiria tar 7 wawalie mzigoo wenu mjue mnashinda

KIPIGO Kiko pale pale MKONO mara ya tanooo
Kiganja kiganjani
 
Akuna cha kujenga timu hapo ukipigwa ni umepigwa kwa kuzidiwa ubora na mambo ya kimbinu
Utopwinyo mlizidiwa ubora na wale waarabu na safari yenu ikaishia makundi...

Walioingia robo fainali hao ndio wakali wa boli Mr 🐸
 
Basi tuliza kende akuna haja ya maneno mengi subilia iyo trh 8 itajulikana wazee na vijana nani mbabe!
 
Utopwinyo mlizidiwa ubora na wale waarabu na safari yenu ikaishia makundi...

Walioingia robo fainali hao ndio wakali wa boli Mr 🐸
Ni kweli kabisa walioingia robo ya woman's cup ni hatari sana
 
Ilikuwaje utopwinyo mkakomalia women cup hadi fainali?

🐸🐸Katika uzuzu wenu
Tulikomalia na tukafika fainali cha ajabu unapiga makelele kwa kuingia robo utadhani ni jambo jipya,,wenzio walicheza fainali ya iyo wamama cup na wewe kama unayo timu fika fainali tuone
 
KUNA jamaa ANASEMA mpaka sasa wametumwa watu ZNZ Tanga ukerewe na kigoma
Kila anaeguswaa anawajibu haisomeki wawape mda nikawambia hao wanasubiria tar 7 wawalie mzigoo wenu mjue mnashinda

KIPIGO Kiko pale pale MKONO mara ya tanooo
Kiganja kiganjani
Bahasha imetembea kwa waamuz wa pembeni mna uhakika na ushindi sio
 
H
Tulikomalia na tukafika fainali cha ajabu unapiga makelele kwa kuingia robo utadhani ni jambo jipya,,wenzio walicheza fainali ya iyo wamama cup na wewe kama unayo timu fika fainali tuone
Ahaaahaaa wamama mkakomalia kombe la wamama halafu hamkulipata 😬😬

Ilikuwaje mkashindwa kulipata kombe la wamama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…