sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,171
- 4,295
Tukiwa usajili wa dirisha dogo tuna idadi imetosha ya wachezaji wa kigeni la sivyo tuvunje mikataba.
Tunahitaji kuimarisha kikosi kwa kutumia wachezaji wazawa kama kuna umuhimu waekuingia gharama ikiwemo kulipa kuvunja mkataba wa foreigner.
Sawa mwenda hamumtaki
Nashon hamumtaki
Lawi hamumtaki
Sema ni mchezaji gani asajiliwe Yanga kuipa team nguvu usiwe mtu wa lawama tu kila siku
Tunahitaji kuimarisha kikosi kwa kutumia wachezaji wazawa kama kuna umuhimu waekuingia gharama ikiwemo kulipa kuvunja mkataba wa foreigner.
Sawa mwenda hamumtaki
Nashon hamumtaki
Lawi hamumtaki
Sema ni mchezaji gani asajiliwe Yanga kuipa team nguvu usiwe mtu wa lawama tu kila siku