Yanga leo mmeitosa timu yenu hapa JF

Yanga leo mmeitosa timu yenu hapa JF

Timu ya wananchi inacheza jamani, cha ajabu leo hata ka uzi kakuonesha kuwa wananchi wapo mawindoni hamna, ivi nyie, Yanga ni timu yenu ikiwa na matokeo mazuri tu? mmekimbia leo kwenda wapi au hamkuwa na ratiba? rudini muanzishe uzi, leo ushindi upo. cc shadeeya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lawama zote kwa yule mcheza mieleka IPE
 
Back
Top Bottom