Yanga leo watafungwa 4-0

Yanga leo watafungwa 4-0

hivi African Lyon si wamepanda daraja?? waje wabebe kipa wao huku
 
kwanini ulisema hivyo mkuu,maana utabiri wako umekuwa kweli
 
Utabiri huu wa Arbaa kwa mtungi. Huenda ukazua balaa pale Bondeni
 
Huu ni utabiri wangu unaweza kubashiri pia!
Asiyekubali kushindwa si mshindani, japo inaniuma sina budi kukupongeza kwa utabiri wako mkuu! Ila tafadhali bwana mechi ya marudio tutabirie vizuri ili wenzio tupate kufuta machozi japo kidogo[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Waswahili wana msemo wa awike, asiwike kutakucha tu.... Hiyo ndiyo iliyonikuta, japo nilikuwa na machungu nimelala
Mkuu ulitegemea kweli ushindi wakati vile vichwa vyote vya Yanga havipo,ajibu,yondani,kamusoko,tshimbi,na chirwa
 
Mkuu ulitegemea kweli ushindi wakati vile vichwa vyote vya Yanga havipo,ajibu,yondani,kamusoko,tshimbi,na chirwa
Sikutegemea ushindi lakini nilitarajia suluhu au tufungwe angalau magoli yasiyozidi 2
 
Back
Top Bottom