Yanga leo watafungwa 4-0

Yanga leo watafungwa 4-0

Ingependeza saaana yanga kushinda. Tatizo uwezo "hawana".
Matamanio bila juhudi,maarifa n.a. mbinu ni bure!
Nawatakia wapate wanachostahili.
Ningewatizama lakini kuna "big match"siwezi kuangalia chandimu!
 
Wanatupiga 2-1, Mwarabou akienda Dar siku yoyote anakula one 0...
 
Ingependeza saaana yanga kushinda. Tatizo uwezo "hawana".
Matamanio bila juhudi,maarifa n.a. mbinu ni bure!
Nawatakia wapate wanachostahili.
Ningewatizama lakini kuna "big match"siwezi kuangalia chandimu!
Hata mi ningependa ishinde kwa vile inatuwakilisha lakini uwezo wako mdogo,hawana Yondani,Kamusoko,Chirwa,Ajibu,Tambwe unategemea nini hapo
 
Back
Top Bottom