njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Ifike wakati tuseme Yanga ni zawadi iliyoshushwa na Mungu kwa soka la nchi hii, kuna vi team vingine vijifunze jinsi ya kuendesha soka kwa weledi jamani
Wapiga majungu mlichooonga sana eti leo hatakuwa MC si mmeona kashika mic kama MC wa kukodiwa wa kujitegemea?
Yaani ulitarajia viongozi vijana ma genius kama Hersi , Arafat, Simon wasijue namna ya kumtumia manara?
Arafat ni mwajiriwa wa serikali anajua jinsi kutii mamlaka ilivyo muhimu , lakini pia anajua scenario nyingine ni haki ya kibinadamu ya mtu, mlitaka MC wa kujitegemea asihusike leo?
HAJJ MANARA KUANZIA WEEK IJAYO ATAHUSIKA KILA PRESS CONFERENCE YA YANGA NA SIGNATURE YAKE ITAKUWEPO KWENYE KILA PRESS RELEASE YA CLUB KAMA PUBLIC RELATION OFFICER CONSULTANT WA KUJITEGEMEA
AMEAJIRIWA KWENYE FIRM BINAFSI AMBAYO YANGA IMEINGIA NAO MKATABA ,HIVYO ATAHUSIKA SANA, NASEMA HIVI KARIA ULIJIFANYA MTOTO WA MJINI SASA HERSI, ARAFAT, SIMON, MANARA WAMEKUONYESHA WEWE NI KOLO TU
Wapiga majungu mlichooonga sana eti leo hatakuwa MC si mmeona kashika mic kama MC wa kukodiwa wa kujitegemea?
Yaani ulitarajia viongozi vijana ma genius kama Hersi , Arafat, Simon wasijue namna ya kumtumia manara?
Arafat ni mwajiriwa wa serikali anajua jinsi kutii mamlaka ilivyo muhimu , lakini pia anajua scenario nyingine ni haki ya kibinadamu ya mtu, mlitaka MC wa kujitegemea asihusike leo?
HAJJ MANARA KUANZIA WEEK IJAYO ATAHUSIKA KILA PRESS CONFERENCE YA YANGA NA SIGNATURE YAKE ITAKUWEPO KWENYE KILA PRESS RELEASE YA CLUB KAMA PUBLIC RELATION OFFICER CONSULTANT WA KUJITEGEMEA
AMEAJIRIWA KWENYE FIRM BINAFSI AMBAYO YANGA IMEINGIA NAO MKATABA ,HIVYO ATAHUSIKA SANA, NASEMA HIVI KARIA ULIJIFANYA MTOTO WA MJINI SASA HERSI, ARAFAT, SIMON, MANARA WAMEKUONYESHA WEWE NI KOLO TU