Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Endelea kujipa hayo matumaini, ila hata CAF na FIFA wanajua klabu bora nchini Tanzania ni ipi 😂😂😂Kinachonipa tumaini ni kuwa klabu yetu bado ndio klabu bora hapa Tanzania...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kujipa hayo matumaini, ila hata CAF na FIFA wanajua klabu bora nchini Tanzania ni ipi 😂😂😂Kinachonipa tumaini ni kuwa klabu yetu bado ndio klabu bora hapa Tanzania...
Kosa ni kuongoza ligi au ni nini? Mechi zetu zimekuwa zikifuatiliwa kwa ukaribu na kila mdau wa soka na wengi wao wanapenda klabu itetereke. kila timu ikicheza na Yanga wanacheza kufa kupona tofauti na hata timu hizi zikicheza na simba! Waamuzi nao wanakua wanajitahidi Yanga isishinde kwa kila namna. Kinachonipa tumaini ni kuwa klabu yetu bado ndio klabu bora hapa Tanzania tusiotishika na yeyote na tukiwa klabu pekee yenye uhakika wa kumfunga simba anayejisifia kumfunga Al Ahly. Wananchi wenzangu tutembee kifua mbele tuko vizuri tujipe muda kidogo benchi lifanye majukumu yake tukumbuke bado timu haijapoteza mchezo hadi leo
Jipeni moyo..kwa wachezaj gani? Kalinyo na sarpong?Kosa ni kuongoza ligi au ni nini? Mechi zetu zimekuwa zikifuatiliwa kwa ukaribu na kila mdau wa soka na wengi wao wanapenda klabu itetereke. kila timu ikicheza na Yanga wanacheza kufa kupona tofauti na hata timu hizi zikicheza na simba! Waamuzi nao wanakua wanajitahidi Yanga isishinde kwa kila namna.
Kinachonipa tumaini ni kuwa klabu yetu bado ndio klabu bora hapa Tanzania tusiotishika na yeyote na tukiwa klabu pekee yenye uhakika wa kumfunga simba anayejisifia kumfunga Al Ahly.
Wananchi wenzangu tutembee kifua mbele tuko vizuri tujipe muda kidogo benchi lifanye majukumu yake tukumbuke bado timu haijapoteza mchezo hadi leo
Nani awakamie nyie uto? Kwamba haujui inavyokuwa tofauti ya mechi kubwa na ndogo?Nadhani mmeiona kagera sugar iliyotukazia vibaya siku ile leo ikifa goli mbili hata kabla ya dkt 30 !na azam
Hakika Yanga tunakamiwa sana
Vidimbwi mumesha jiishia Nani ahangaike na nyie? Kwisha habari yenu mtaishia kulalamika tu lakini Ubingwa hamchukui ng'o! !!!!!!Kosa ni kuongoza ligi au ni nini? Mechi zetu zimekuwa zikifuatiliwa kwa ukaribu na kila mdau wa soka na wengi wao wanapenda klabu itetereke. kila timu ikicheza na Yanga wanacheza kufa kupona tofauti na hata timu hizi zikicheza na simba! Waamuzi nao wanakua wanajitahidi Yanga isishinde kwa kila namna.
Kinachonipa tumaini ni kuwa klabu yetu bado ndio klabu bora hapa Tanzania tusiotishika na yeyote na tukiwa klabu pekee yenye uhakika wa kumfunga simba anayejisifia kumfunga Al Ahly.
Wananchi wenzangu tutembee kifua mbele tuko vizuri tujipe muda kidogo benchi lifanye majukumu yake tukumbuke bado timu haijapoteza mchezo hadi leo
Mlituanza na Sisi sasa ndiyo tunamalizia.Kosa ni kuongoza ligi au ni nini? Mechi zetu zimekuwa zikifuatiliwa kwa ukaribu na kila mdau wa soka na wengi wao wanapenda klabu itetereke. kila timu ikicheza na Yanga wanacheza kufa kupona tofauti na hata timu hizi zikicheza na simba! Waamuzi nao wanakua wanajitahidi Yanga isishinde kwa kila namna.
Kinachonipa tumaini ni kuwa klabu yetu bado ndio klabu bora hapa Tanzania tusiotishika na yeyote na tukiwa klabu pekee yenye uhakika wa kumfunga simba anayejisifia kumfunga Al Ahly.
Wananchi wenzangu tutembee kifua mbele tuko vizuri tujipe muda kidogo benchi lifanye majukumu yake tukumbuke bado timu haijapoteza mchezo hadi leo
[emoji38][emoji38]Jibu kwanza hili swali, Kati ya Sarpong na Nchimbi nani Sarpong?
Acha matusi...we changia tu kwa amaniNi kwaresma samahani, ila we jamaa unajitia kidole afu unanusa.
JK aliwaambia mkamuona siyoVioingozi wa Yanga badilikeni wenzenu wameunda kikundi cha kuihujumu Yanga mpaka kwenye mitandao utakuta kama Leo Yanga inacheza na Coastal wanaishambulia Yanga kwenye mitandao ni zaidi ya robo tatu hawa wote wanaikejeli Yangawhere are you Yanga Fans