Yanga mbona tunapigwa vita kiasi hiki?

Yanga mbona tunapigwa vita kiasi hiki?

Vioingozi wa Yanga badilikeni wenzenu wameunda kikundi cha kuihujumu Yanga mpaka kwenye mitandao utakuta kama Leo Yanga inacheza na Coastal wanaishambulia Yanga kwenye mitandao ni zaidi ya robo tatu hawa wote wanaikejeli Yangawhere are you Yanga Fans
Poleni sana
 
Kosa ni kuongoza ligi au ni nini? Mechi zetu zimekuwa zikifuatiliwa kwa ukaribu na kila mdau wa soka na wengi wao wanapenda klabu itetereke. kila timu ikicheza na Yanga wanacheza kufa kupona tofauti na hata timu hizi zikicheza na simba! Waamuzi nao wanakua wanajitahidi Yanga isishinde kwa kila namna.

Kinachonipa tumaini ni kuwa klabu yetu bado ndio klabu bora hapa Tanzania tusiotishika na yeyote na tukiwa klabu pekee yenye uhakika wa kumfunga simba anayejisifia kumfunga Al Ahly.

Wananchi wenzangu tutembee kifua mbele tuko vizuri tujipe muda kidogo benchi lifanye majukumu yake tukumbuke bado timu haijapoteza mchezo hadi leo

Vipi Uto bado hamujapoteza mchezo?
 
Kwa kujifariji tu!

Unapigwa vita na nani kama siyo kujistukia tu?

Uzuri wapenzi wengi wa utopolo ni mbumbumbu ndio maana mmedanganywa timu ni ya wananchi wakati hamjawahi kupata mgao hata senti tano zaidi ya kuchangishwa.Pesa wanapiga wajanja wachache wanaowapamba kwa jina wananchi!

Na wamefanikiwa kuficha udhaifu wao kwa kuwadanganya mnaonewa na waamuzi,TFF,bodi ya ligi,serikali,CAF na FIFA.Kwa ujinga wenu na mlivyo vilaza, mnaamini kweli kuwa mnaonewa.
Halafu Mwakalebela amewachezea Sana utopolo!! Aliwadanganya kuwa amefungua kesi FIFA inayomhusu Morrison kuwa usajili wake Simba ni batili!!
Halafu sijui utopolo wamelogwa hata hawamwulizi vipi ile kesi ya Morrison huko fifa?? Hakuna cha kesi wala mtoto wake kesi!!
 
Kosa ni kuongoza ligi au ni nini? Mechi zetu zimekuwa zikifuatiliwa kwa ukaribu na kila mdau wa soka na wengi wao wanapenda klabu itetereke. kila timu ikicheza na Yanga wanacheza kufa kupona tofauti na hata timu hizi zikicheza na simba! Waamuzi nao wanakua wanajitahidi Yanga isishinde kwa kila namna.

Kinachonipa tumaini ni kuwa klabu yetu bado ndio klabu bora hapa Tanzania tusiotishika na yeyote na tukiwa klabu pekee yenye uhakika wa kumfunga simba anayejisifia kumfunga Al Ahly.

Wananchi wenzangu tutembee kifua mbele tuko vizuri tujipe muda kidogo benchi lifanye majukumu yake tukumbuke bado timu haijapo

Kosa ni kuongoza ligi au ni nini? Mechi zetu zimekuwa zikifuatiliwa kwa ukaribu na kila mdau wa soka na wengi wao wanapenda klabu itetereke. kila timu ikicheza na Yanga wanacheza kufa kupona tofauti na hata timu hizi zikicheza na simba! Waamuzi nao wanakua wanajitahidi Yanga isishinde kwa kila namna.

Kinachonipa tumaini ni kuwa klabu yetu bado ndio klabu bora hapa Tanzania tusiotishika na yeyote na tukiwa klabu pekee yenye uhakika wa kumfunga simba anayejisifia kumfunga Al Ahly.

Wananchi wenzangu tutembee kifua mbele tuko vizuri tujipe muda kidogo benchi lifanye majukumu yake tukumbuke bado timu haijapoteza mchezo hadi leo
Tatizo la mashabiki wa Yanga ni kuongea sana,mafanikio kidogo-kelele nyingi.Nimefanya utafiti,katika mabishano ya kisoka,mashabikivwengi wa yanga huongea kwa jazba kana kwamba mpira ni vita
 
Kosa ni kuongoza ligi au ni nini? Mechi zetu zimekuwa zikifuatiliwa kwa ukaribu na kila mdau wa soka na wengi wao wanapenda klabu itetereke. kila timu ikicheza na Yanga wanacheza kufa kupona tofauti na hata timu hizi zikicheza na simba! Waamuzi nao wanakua wanajitahidi Yanga isishinde kwa kila namna.

Kinachonipa tumaini ni kuwa klabu yetu bado ndio klabu bora hapa Tanzania tusiotishika na yeyote na tukiwa klabu pekee yenye uhakika wa kumfunga simba anayejisifia kumfunga Al Ahly.

Wananchi wenzangu tutembee kifua mbele tuko vizuri tujipe muda kidogo benchi lifanye majukumu yake tukumbuke bado timu haijapoteza mchezo hadi leo

Hahaa, eti mna uhakika wa kumfunga simba aliyeifunga Al Ahly!
Ona sasa mmepigwa na Coastal union ambao walipigwa 7 na simba!
Hivi hapo ukifanya hesabu kidogo tu unadhani kwa kiwango mlicho nacho sasa mkikutana na Simba ikiwa na kile kikosi kilichoipiga Coastal 7 nyie mtapigwa ngapi?
Zitapungua 9 kweli...!?
Bahati yenu game yenu na Simba imesogezwa mbele huko, kama ingekuwa imechezwa kama ilivyokuwa imepangwa hapo awali mngekuwa mmeshatimua benchi lote la ufundi kwa aibu ambayo mngeambulia, lakini hata na hivyo hamtaikwepa hiyo May!

But si mnaongoza ligi, endeleeni kufurahia kuongoza ligi kwani mnaogopa nini?
Unbeaten blalful!
 
Nadhani mmeiona kagera sugar iliyotukazia vibaya siku ile leo ikifa goli mbili hata kabla ya dkt 30 !na azam
Hakika Yanga tunakamiwa sana
Yaaani Utopolo mnapenda vya bure. Ko mnataka mkiwa mnacheza mzifunge tu timu kirahisi. Basi anzisheni ligi yenu ambayo mtakua mnacheza bila kukamiwa.
Kukamia Ndio nini hasa? Hili neno kukamiwa kulileta kwenye mashindano ni upumbavu kabsa.
Yaani hamna hata aibu kusema timu zinatukamia. Timu imesafiri kwa gharama toka bukoba afu icheze kirahisi ili wewe Utopolo ushinde? Sasa si bora wabaki huko Kagera kupunguza gharama?
Kwanza mashabiki mkiacha kuaminishwa ujinga timu yenu itaanza kucheza vzri na kupata matokeo.
Saizi mnawavunja Moyo hata Wachezaji. Mchezaji inafika dk ya 70,anakata tamaa kwa sababu ameaminishwa kua anakamia badala ya kujua kua huu ni mpambano wa dk 90 aendelee kupambana
 
Hamna anayekupiga vita, team bovu badala ya kusajili wachezaji mnasajili wacheza dance. Mnasajili striker anashindwa kufika hata goli 10 kwa msimu mnadhani mtatoboa.
 
Hahaa, eti mna uhakika wa kumfunga simba aliyeifunga Al Ahly!
Ona sasa mmepigwa na Coastal union ambao walipigwa 7 na simba!
Hivi hapo ukifanya hesabu kidogo tu unadhani kwa kiwango mlicho nacho sasa mkikutana na Simba ikiwa na kile kikosi kilichoipiga Coastal 7 nyie mtapigwa ngapi?
Zitapungua 9 kweli...!?
Bahati yenu game yenu na Simba imesogezwa mbele huko, kama ingekuwa imechezwa kama ilivyokuwa imepangwa hapo awali mngekuwa mmeshatimua benchi lote la ufundi kwa aibu ambayo mngeambulia, lakini hata na hivyo hamtaikwepa hiyo May!

But si mnaongoza ligi, endeleeni kufurahia kuongoza ligi kwani mnaogopa nini?
Unbeaten blalful!
Kwa Yanga hii hii simba hafurukuti na mnalijua hilo
 
Vioingozi wa Yanga badilikeni wenzenu wameunda kikundi cha kuihujumu Yanga mpaka kwenye mitandao utakuta kama Leo Yanga inacheza na Coastal wanaishambulia Yanga kwenye mitandao ni zaidi ya robo tatu hawa wote wanaikejeli Yangawhere are you Yanga Fans
Vile vikundi vyenu vilivyokuwq vinashangilianas vita na alahly mtandaoni vimeishia wapi
 
Vioingozi wa Yanga badilikeni wenzenu wameunda kikundi cha kuihujumu Yanga mpaka kwenye mitandao utakuta kama Leo Yanga inacheza na Coastal wanaishambulia Yanga kwenye mitandao ni zaidi ya robo tatu hawa wote wanaikejeli Yangawhere are you Yanga Fans
Timu lenu bovu hakuna cha hujuma wala nini.
 
Kwa Yanga hii hii simba hafurukuti na mnalijua hilo

Oiii, ptuu![emoji706][emoji706] hata mkiloga kwa kutumia vyura na ngamia...!! Utopolo ikimaliza hata hiyo nafasi ya pili ishukuru! Zaidi naiona ikimaliza nafasi ya tatu au ya nne huku ikiambulia kipigo cha maana kutoka kwa mabingwa watarajiwa hapo mwezi May!
 
Oiii, ptuu![emoji706][emoji706] hata mkiloga kwa kutumia vyura na ngamia...!! Utopolo ikimaliza hata hiyo nafasi ya pili ishukuru! Zaidi naiona ikimaliza nafasi ya tatu au ya nne huku ikiambulia kipigo cha maana kutoka kwa mabingwa watarajiwa hapo mwezi May!
Unakumbuka mara ile kwa mkapa mlisawazisha ki bahati bahati game iliyofuata Zanzibar mkafa sasa labda mwezi may mtumie minyau yenu lkn kimpira hamuwezi pamoja na madhaifu yote ya yanga
 
Mbumbumbu/Mikia/Bodaboda hawezi kumfunga Yanga kwenye ligi kwani mwaka jana ilikuwaje na timu mbovu ya Yanga kwani mwaka juzi ulikuwaje na Yanga mbovu vs Simba kikosi kipana
 
Yanga ni kikundi cha wahuni wanaocheza mchezo unaofanana na soka. Badala ya kusajiri wachezaji wakamsajiri Senzo,haya sasa wambieni akafunge
 
Unakumbuka mara ile kwa mkapa mlisawazisha ki bahati bahati game iliyofuata Zanzibar mkafa sasa labda mwezi may mtumie minyau yenu lkn kimpira hamuwezi pamoja na madhaifu yote ya yanga

Ushindi wa utopolo zanzibar hivi nao ni wa kusifia kweli?
Yale matuta hata ingekukuwa chake chake fc ingeweza kushinda pia!
Dk 90 zote hawakutaka kupiga shot on target but utopolo mbona hawakupata kitu, hadi matuta ndio mkaona nyie vidume?
Hivi unakumbuka ule moto wa pale kwa mkapa kwenye FA mlipolimwa nne mkapotea mpaka njia ya kurudi majumbani mwenu...!?
IMG_5365.jpg
 
Back
Top Bottom