OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
SanaHata hivyo Yanga wamejitahidi sana.
Yanga haitatoka..?Pamoja na hayo Zesco anang'oka.Maana tulivyofungwa na polisi mlisema ya kila namna.Na baada ya nyie kutoka sare na pirates mkajiona mmefika nusu fainali.Lakin mpaka sasa sisi tumesonga ninyi mnabaki mchangani.
Yanga ikiwa na kikosi kamili imetoka suluhu ya goli 1 na Wanakawekamo wana TP Lindanda Pamba SC hapa uwanja wa CCM Kirumba.
Yanga imechomoa dakika 89 huku Pamba wakiwa pungufu baada ya Amisi Thabit kupigwa red card
Pamoja na kuponea kwenye tundu la sindano Yanga imeendelea kutokuonyesha ufundi wowote ikizidiwa kwa mbali sana na Pamba
Kocha wa Pamba akiwa amevali nadhifu suti kali amekisifia kikosi chake na kuahidi kuirejesha Pamba ligi kuu.
Mwinyi Zahera akiwa amevalia bukta amesema kikosi chake bado hakiko vizuri na wamekosa magori mengi.
Mashabiki wa Yanga wameonekana kushangilia droo na timu ya daraja la kwanza
Achana na Yanga kijana. Leo mmepata CEO mpya from Sauz.hii yanga nliyoiona leo....kama itaendelea kucheza na kuwategemea mastrika kama kina molinga na beki za pemben kama Marcelo...viungo wasiyotumia akili kama shishimbi....muitunze hii text....nna uhakika hata top 5 ya vpl haitoboi...
Mukia ya panya aka kacheko kwake nyuma tuuuYanga ikiwa na kikosi kamili imetoka suluhu ya goli 1 na Wanakawekamo wana TP Lindanda Pamba SC hapa uwanja wa CCM Kirumba.
Yanga imechomoa dakika 89 huku Pamba wakiwa pungufu baada ya Amisi Thabit kupigwa red card
Pamoja na kuponea kwenye tundu la sindano Yanga imeendelea kutokuonyesha ufundi wowote ikizidiwa kwa mbali sana na Pamba
Kocha wa Pamba akiwa amevali nadhifu suti kali amekisifia kikosi chake na kuahidi kuirejesha Pamba ligi kuu.
Mwinyi Zahera akiwa amevalia bukta amesema kikosi chake bado hakiko vizuri na wamekosa magori mengi.
Mashabiki wa Yanga wameonekana kushangilia droo na timu ya daraja la kwanza
Bado hawana mfungaji , watamkumbuka Makambo