Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Mkuu ni kwamba Yanga hawataki hela yoyote, yaani hawataki mazungumzo kuhusu kuonyesha 'live'. YM akishasema, hakuna atakayempinga!Michezo/Mpira sasa hivi ni biashara Chifu...Hakuna cha bure sasa hivi...