Yanga: Mechi yetu na Etoile du Sahel haitaonyeshwa runingani

Mimi ni shabiki wa yanga niliye mbali na dar. Ninawaomba Watanzania woote msusie kwenda uwanjani ili kukomesha hii tabia ya kuwanyima watu waliombali na dar kushuhudia mtanange huo.Huo ni ujinga uliopitiliza na sijui TFF ama BMT wanafanya nini kushindwa kukemea huo ujinga. Ni kawaida wtu kama yupo karibu hatokubali kuangalia luningani lakini kwa waliombali waingie mkataba na TV mojawapo ili na sisi tuiangalie kwa viingilio au tununue vifurushi vya tv
 
ila yanga wako sahihi ktka hili

BTW hivi yanga hawana namba ya club washabiki kuweza kuchangia timu? kama hawana, wajitahidi wawe nayo ili wakereketwa tuweze kuchangia timu hata kidogo tunachobarikiwa. unajua hata mia tano mia tano tukichangia club inapata pesa ya maana tu
 
Yanga basi chezeni wenyewe na wakati wa kujenga uwanja changishaneni wa huko huko dar wakuda nyieeeeeee.......upuuzi tu
 
katibu mkuu alisema kuwa ili mechi ya kimataifa ya yanga iweze kuonyeshwa inatakiwa $ 10000 vp azam hawajaweka mzigo mezan?
 
Yanga chama langu kwa hili tumechemka...........
 
Taja kiongozi mmojawapo wa Yanga mwenye elimu ya kuungaunga kisha unipe kiwango cha elimu cha Geofrey Nyange 'Kaaburu', Evans Aveva, Haji Manara, Zacharia Hans Pope na Said Tully

uwiiii..Hapa umeua??? duuuh jamaa lazima atoke nduki. wote hao hawana shule kamanda.
 
milioni 20 hiyo! mkomoeni.
Tatizi hapa sis Yanga, ni Azam TV ndo hawataki kutoa hiyo hela. sijui kwa nini stesheni zingine kama star tv zinaruhusu azam amonopolizie mpira wa bongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…