Yanga: Mechi yetu na Etoile du Sahel haitaonyeshwa runingani

Yanga: Mechi yetu na Etoile du Sahel haitaonyeshwa runingani

Michezo/Mpira sasa hivi ni biashara Chifu..Kituo cha Luninga kinachotaka kuonesha mechi ya Yanga kinapaswa kuwalipa Yanga fedha kwa ajili ya matangazo hayo...

Hakuna cha bure sasa hivi...Hata wewe usipolipia Azam TV hauwezi kuwa na access ya Azam 1 au 2 zinazoonesha mpira...Ni lazima ulipie kwanza ndo uangalie hizo channel...Hata Super Sport na Sky Sports ni hivo hivo..

Timu za ligi kubwa kama RMA na Arsenal zinaingiza fedha nyingi kutokana na malipo ya haki za matangazo ya moja kwa moja ya luninga...

Kabla haujaanza kuilalamikia Yanga jaribu kuuliza endapo kituo chochote cha Luninga kilijaribu kuingia makubaliano na Yanga juu ya kununua haki za matangazo hayo...Na ujue kama walishindwana ama la...

Vituo vya luninga vinapata fedha nyingi na faida kubwa kutokana na udhamini wa makampuni katika matangazo ya moja kwa moja....

Inabidi tubadilike na kuona kwamba mpira wa sasa ni biashara...Hawa akina Niyonzima..Tambwe..Coutinho et al wanahitaji kulipwa fedha nyingi tu...Hizi si zama za bure Chifu...Hasa kwenye mashindano makubwa kama confederation cup...

Mpira ni pesa na TV stations zinapaswa kubadilika..Ndo maana Azam TV wanatoa zaidi ya Tshs. Milioni 100 kwa kila timu inayoshiriki VPL kama sehemu ya gharama za udhamini kutokana na haki za matangazo..

Jiulize ni kwa nini Azam TV wamenunua haki za matangazo za VPL?...

Hauoni kwamba kwa Yanga kuruhusu Azam TV waoneshe bure mechi itakuwa ni kuifaidisha Azam TV kutokana na sababu kwamba Azam TV watafaidika na fedha za malipo/gharama za kulipia kuona Azam 1 na 2 pamoja na udhamini wa matangazo hayo ya moja kwa moja(matangazo ya biashara ya bidhaa za SSB)...

Mzee mbona unaongea kama hujui? Hakuna kituo cha tv kinachotaka kuonyesha mechi bure mfano mechi ya yanga na bdf xii walipewa million 8 na azamtv wakakataa sasa hao itakua ni ujinga wao tu ukiangalia kua wengi wao ni wazee wenye mawazo mgando.
 
unajitangaza ili iweje!!? mpira sasahivi ni pesa, nenda ulaya uone kama kuna club iko tayari kuuza haki za matangazo kwa pesa mbuzi kisa kujitangaza
 
busara huna, kuendesha ile club ni gharama!! hakuna club inayotoa haki za matangazo bule duniani kisa washabiki tena kama wabongo ambao hawachangii lolote zaidi ya kusubiria ifanye vibaya waponde
 
hii inaonyesha ni jinsi gani haujui hata dunia inavyokwenda, unafikiri yanga wametumia milioni nane kuandaa timu!!? kaka haukusoma hata introduction ya opportunity cost!? hata million mia haitoshi kununua game ile!!
 
Mzee mbona unaongea kama hujui? Hakuna kituo cha tv kinachotaka kuonyesha mechi bure mfano mechi ya yanga na bdf xii walipewa million 8 na azamtv wakakataa sasa hao itakua ni ujinga wao tu ukiangalia kua wengi wao ni wazee wenye mawazo mgando.

Timu kama yanga unaipa million 8 yanambayo ya hela ambayo itapungua hapo mlangoni ni zaidi ya hata million 20 sababu watu wataangalia kwny tv halafu wao wapate million 8
 
Mzee mbona unaongea kama hujui? Hakuna kituo cha tv kinachotaka kuonyesha mechi bure mfano mechi ya yanga na bdf xii walipewa million 8 na azamtv wakakataa sasa hao itakua ni ujinga wao tu ukiangalia kua wengi wao ni wazee wenye mawazo mgando.

bukoba boy wamaanisha pesa ni pesa tu hata kama haina thamani?
 
Last edited by a moderator:
bukoba boy wamaanisha pesa ni pesa tu hata kama haina thamani?

Uthamani wa pesa unatokana na mechi yenyewe hao bdf xii nani aliwajua kabla ya mechi yao na yanga? Na simaanishi kua na mechi ya etoile du sahel watoe m8 ni obvious kua itapanda. Ila wanaendekeza tamaa wanataka tv rights ya mechi moja iwape mamilioni.
 
Last edited by a moderator:
Uthamani wa pesa unatokana na mechi yenyewe hao bdf xii nani aliwajua kabla ya mechi yao na yanga? Na simaanishi kua na mechi ya etoile du sahel watoe m8 ni obvious kua itapanda. Ila wanaendekeza tamaa wanataka tv rights ya mechi moja iwape mamilioni.
Mkuu nani sasa anapanga thamani...
 
Sema Hii habari imeshakuwa ya uongo admin itoe.
Hapa live TBC 1 UKWELI NA UHAKIKA.
 
Back
Top Bottom