Yanga mjiandae kisaikolojia na kadi nyekundu kesho toka kwa refa

Yanga mjiandae kisaikolojia na kadi nyekundu kesho toka kwa refa

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
Najua hamuamini hili refa anaingia uwanjani na redi kadi yenu kapewa maagizo wapi sijui


Ushauri

1) Wachezaji mjitahidi sana kushinda magoli mengi kipindi cha kwanza


2) Wachezaji mjitume dakika zote tisini mkijua hamchezi na wenzenu 11

3) Kama kuna mechi kucheza kwa nidhamu zote ni kesho mnapambana si na Simba tu..


4) Msiwe na hofu na uwoga hata atakapotolewa mmoja wa wachezaji wenu hii ktk kuwaondoa mchezoni


5) Mwisho mtangulizeni Mungu ndiye muweza yote
 
Yaani ri refarii ni mali ya simba! Hakika wachezaji wetu wanatakiwa wacheze kwa tahadhari kubwa. Wakijisahau tu, wamekwisha! Wawe makini pia na faulo za nje ya 18.
Wasisahau kamwe figisu aliyowafanyia Azam kwenye ile mechi ya nusu fainali kwenye zile dakika za lala salama.

Dawa ya kuwadhibiti mbumbumbu fc ni kukaba tu man to man! Na kuhakikisha timu inakabia juu! Counter attack kama kawa, maana michezaji yao mingi ni mizee! Hivyo haiwezi kushambulia na kurudi haraka kulinda.
 
Yaani ri refarii ni mali ya simba! Hakika wachezaji wetu wanatakiwa wacheze kwa tahadhari kubwa. Wakijisahau tu, wamekwisha! Wawe makini pia na faulo za nje ya 18.
Wasisahau kamwe figisu aliyowafanyia Azam kwenye ile mechi ya nusu fainali kwenye zile dakika za lala salama.

Dawa ya kuwadhibiti mbumbumbu fc ni kukaba tu man to man! Na kuhakikisha timu inakabia juu! Counter attack kama kawa, maana michezaji yao mingi ni mizee! Hivyo haiwezi kushambulia na kurudi haraka kulinda.
Hahahaaaa mzee umenichekesha sana.Yaani dawa ya ile mizee ni kukimbizwa tu.
 
NAJUA HAMUAMINI HILI REFA ANAINGIA UWANJAN NA REDKADI YENU KAPEWA MAAGIZO WAPI SIJUI

USHAURI
1)WACHEZAJI MJITAHIDI SANA KUSHINDA MAGOLI MENGI KIPINDI CHA KWANZA

2)WACHEZAJI MJITUME DK ZOTE TISINI MKIJUA HAMCHEZI NA WENZENU 11
3)KAMA KUNA MECHI KUCHEZA KWA NIDHAMU ZOTE N KESHO MNAPAMBANA SI NA.SIMBA TU..

4)MSIWE NA HOFU NA UWOGA HATA ATAKAPOTOLEWA MMOJA WA WACHEZAJI WENU HII KTK KUWAONDOA MCHEZONI

5)MWISHO MTANGULIZEN MUNGU NDIE MWEZA YOTE

Jamani Mimi ni YANGA damu
Nasema haya Ili Kumdanya Refa watuonee huruma na Pia Kuwahadaa Waamuzi hii ndio Mbinu yetu sisi wana Yanga ili Tutoboe!
Bado Tunaendelea na Mbinu!Tutatumia Kila Aina Ya Maneno ya Vitisho ili Kuwalaghai Wamuzi na Wapinzani wetu Simba
Yanga Mbele Daima Nyuma Mwiko
 
NAJUA HAMUAMINI HILI REFA ANAINGIA UWANJAN NA REDKADI YENU KAPEWA MAAGIZO WAPI SIJUI

USHAURI
1)WACHEZAJI MJITAHIDI SANA KUSHINDA MAGOLI MENGI KIPINDI CHA KWANZA

2)WACHEZAJI MJITUME DK ZOTE TISINI MKIJUA HAMCHEZI NA WENZENU 11
3)KAMA KUNA MECHI KUCHEZA KWA NIDHAMU ZOTE N KESHO MNAPAMBANA SI NA.SIMBA TU..

4)MSIWE NA HOFU NA UWOGA HATA ATAKAPOTOLEWA MMOJA WA WACHEZAJI WENU HII KTK KUWAONDOA MCHEZONI

5)MWISHO MTANGULIZEN MUNGU NDIE MWEZA YOTE
Hapa ni mukoko ndio alipewa maelekezo
 
Back
Top Bottom