MrConveter
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,290
- 2,361
Maoni yako mkuu, unahisi sio halali?
Kadi haina ubishi, imestahili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maoni yako mkuu, unahisi sio halali?
Kama Mukoko unamuachaje Sasa palee? Baada ya Yanga kumpiga mkwara refa mkaona atakua anawalegezea eee?NAJUA HAMUAMINI HILI REFA ANAINGIA UWANJAN NA REDKADI YENU KAPEWA MAAGIZO WAPI SIJUI
USHAURI
1)WACHEZAJI MJITAHIDI SANA KUSHINDA MAGOLI MENGI KIPINDI CHA KWANZA
2)WACHEZAJI MJITUME DK ZOTE TISINI MKIJUA HAMCHEZI NA WENZENU 11
3)KAMA KUNA MECHI KUCHEZA KWA NIDHAMU ZOTE N KESHO MNAPAMBANA SI NA.SIMBA TU..
4)MSIWE NA HOFU NA UWOGA HATA ATAKAPOTOLEWA MMOJA WA WACHEZAJI WENU HII KTK KUWAONDOA MCHEZONI
5)MWISHO MTANGULIZEN MUNGU NDIE MWEZA YOTE
Kutoka kwa Mukoko MwenyeweUtabiri wako umetimia boss lakini basi kuwa muungwana tueleze ni maagizo kutoka kwa nani
Washapata red card tayariNAJUA HAMUAMINI HILI REFA ANAINGIA UWANJAN NA REDKADI YENU KAPEWA MAAGIZO WAPI SIJUI
USHAURI
1)WACHEZAJI MJITAHIDI SANA KUSHINDA MAGOLI MENGI KIPINDI CHA KWANZA
2)WACHEZAJI MJITUME DK ZOTE TISINI MKIJUA HAMCHEZI NA WENZENU 11
3)KAMA KUNA MECHI KUCHEZA KWA NIDHAMU ZOTE N KESHO MNAPAMBANA SI NA.SIMBA TU..
4)MSIWE NA HOFU NA UWOGA HATA ATAKAPOTOLEWA MMOJA WA WACHEZAJI WENU HII KTK KUWAONDOA MCHEZONI
5)MWISHO MTANGULIZEN MUNGU NDIE MWEZA YOTE
Wewe jamaa ni mtoto wa mzee mpiliNAJUA HAMUAMINI HILI REFA ANAINGIA UWANJAN NA REDKADI YENU KAPEWA MAAGIZO WAPI SIJUI
USHAURI
1)WACHEZAJI MJITAHIDI SANA KUSHINDA MAGOLI MENGI KIPINDI CHA KWANZA
2)WACHEZAJI MJITUME DK ZOTE TISINI MKIJUA HAMCHEZI NA WENZENU 11
3)KAMA KUNA MECHI KUCHEZA KWA NIDHAMU ZOTE N KESHO MNAPAMBANA SI NA.SIMBA TU..
4)MSIWE NA HOFU NA UWOGA HATA ATAKAPOTOLEWA MMOJA WA WACHEZAJI WENU HII KTK KUWAONDOA MCHEZONI
5)MWISHO MTANGULIZEN MUNGU NDIE MWEZA YOTE
Hahaahha ila hii kadi wameitaka wenyewe, tuweni wakweli hii sio ya kutumwa hii ni ya kujitakiaNAJUA HAMUAMINI HILI REFA ANAINGIA UWANJAN NA REDKADI YENU KAPEWA MAAGIZO WAPI SIJUI
USHAURI
1)WACHEZAJI MJITAHIDI SANA KUSHINDA MAGOLI MENGI KIPINDI CHA KWANZA
2)WACHEZAJI MJITUME DK ZOTE TISINI MKIJUA HAMCHEZI NA WENZENU 11
3)KAMA KUNA MECHI KUCHEZA KWA NIDHAMU ZOTE N KESHO MNAPAMBANA SI NA.SIMBA TU..
4)MSIWE NA HOFU NA UWOGA HATA ATAKAPOTOLEWA MMOJA WA WACHEZAJI WENU HII KTK KUWAONDOA MCHEZONI
5)MWISHO MTANGULIZEN MUNGU NDIE MWEZA YOTE
Bibie mpira ni dk 90! Ni mapema sana kuanza kusherehekea ushindi.deal done
Mchezaji fala sana yule, a professional player hutakiwi kufanya kosa la kipumbavu kama lile.Hapa ni mukoko ndio alipewa maelekezo
KabisaHapa ni mukoko ndio alipewa maelekezo
Kapigwa $$$ uli afanye fauloKuna namna hapa haiwezekani acheze faulo yakindezi vile
Kwahiyo bado ngapiNdo hivyo wazee wa Utopolo mmeshapigwa kadi nyekundu moja.