Yanga mjiandae kisaikolojia na kadi nyekundu kesho toka kwa refa

Yanga mjiandae kisaikolojia na kadi nyekundu kesho toka kwa refa

NAJUA HAMUAMINI HILI REFA ANAINGIA UWANJAN NA REDKADI YENU KAPEWA MAAGIZO WAPI SIJUI

USHAURI
1)WACHEZAJI MJITAHIDI SANA KUSHINDA MAGOLI MENGI KIPINDI CHA KWANZA

2)WACHEZAJI MJITUME DK ZOTE TISINI MKIJUA HAMCHEZI NA WENZENU 11
3)KAMA KUNA MECHI KUCHEZA KWA NIDHAMU ZOTE N KESHO MNAPAMBANA SI NA.SIMBA TU..

4)MSIWE NA HOFU NA UWOGA HATA ATAKAPOTOLEWA MMOJA WA WACHEZAJI WENU HII KTK KUWAONDOA MCHEZONI

5)MWISHO MTANGULIZEN MUNGU NDIE MWEZA YOTE
Kama Mukoko unamuachaje Sasa palee? Baada ya Yanga kumpiga mkwara refa mkaona atakua anawalegezea eee?
 
Kocha anatakiwa kumpumzisha Ditram Nchimbi halafu aingie Lamine Moro, Juma Makapu au Deus Kaseke!

Akimuingiza Farid Mussa tumekwisha! Maana huyu ni kiungo mshambuliaji zaidi, na siyo mkabaji. Mbele angebakia Yacouba pekee. Mukoko amezingua kucheza rafu kama ile ingawa kwa kiasi fulani alikuwa na sababu kutokana na bughudha aliyofanyiwa na John Boco!

Bahati mbaya ndiyo hivyo tena! Hawakufuata ushauri wa kutakiwa kucheza kwa tahadhari. Wanatakiwa wapambane sasa mwanzo mwisho. Bado wana nafasi ya kushinda hata kama watacheza pungufu kwa dk zote 45 za kipindi cha pili.
 
NAJUA HAMUAMINI HILI REFA ANAINGIA UWANJAN NA REDKADI YENU KAPEWA MAAGIZO WAPI SIJUI

USHAURI
1)WACHEZAJI MJITAHIDI SANA KUSHINDA MAGOLI MENGI KIPINDI CHA KWANZA

2)WACHEZAJI MJITUME DK ZOTE TISINI MKIJUA HAMCHEZI NA WENZENU 11
3)KAMA KUNA MECHI KUCHEZA KWA NIDHAMU ZOTE N KESHO MNAPAMBANA SI NA.SIMBA TU..

4)MSIWE NA HOFU NA UWOGA HATA ATAKAPOTOLEWA MMOJA WA WACHEZAJI WENU HII KTK KUWAONDOA MCHEZONI

5)MWISHO MTANGULIZEN MUNGU NDIE MWEZA YOTE
Washapata red card tayari

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
NAJUA HAMUAMINI HILI REFA ANAINGIA UWANJAN NA REDKADI YENU KAPEWA MAAGIZO WAPI SIJUI

USHAURI
1)WACHEZAJI MJITAHIDI SANA KUSHINDA MAGOLI MENGI KIPINDI CHA KWANZA

2)WACHEZAJI MJITUME DK ZOTE TISINI MKIJUA HAMCHEZI NA WENZENU 11
3)KAMA KUNA MECHI KUCHEZA KWA NIDHAMU ZOTE N KESHO MNAPAMBANA SI NA.SIMBA TU..

4)MSIWE NA HOFU NA UWOGA HATA ATAKAPOTOLEWA MMOJA WA WACHEZAJI WENU HII KTK KUWAONDOA MCHEZONI

5)MWISHO MTANGULIZEN MUNGU NDIE MWEZA YOTE
Wewe jamaa ni mtoto wa mzee mpili
 
NAJUA HAMUAMINI HILI REFA ANAINGIA UWANJAN NA REDKADI YENU KAPEWA MAAGIZO WAPI SIJUI

USHAURI
1)WACHEZAJI MJITAHIDI SANA KUSHINDA MAGOLI MENGI KIPINDI CHA KWANZA

2)WACHEZAJI MJITUME DK ZOTE TISINI MKIJUA HAMCHEZI NA WENZENU 11
3)KAMA KUNA MECHI KUCHEZA KWA NIDHAMU ZOTE N KESHO MNAPAMBANA SI NA.SIMBA TU..

4)MSIWE NA HOFU NA UWOGA HATA ATAKAPOTOLEWA MMOJA WA WACHEZAJI WENU HII KTK KUWAONDOA MCHEZONI

5)MWISHO MTANGULIZEN MUNGU NDIE MWEZA YOTE
Hahaahha ila hii kadi wameitaka wenyewe, tuweni wakweli hii sio ya kutumwa hii ni ya kujitakia
 
Kila laheri Simba, game tumeshaimaliza. Walishinda mechi isiyo na umuhimu kwao wakashangilia week nzima. Sisi leo tunabeba kombe lingine.
 
Back
Top Bottom