karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,802
- 3,253
Huyo jamaa ndio mganga wa Yanga licha ya kwamba hatuamini kwenye uchawi ila upo maana sio kwa kukosa magoli vile
La mwisho Yanga mwambie mganga wenu akafukue dawa pale taifa maana tangu aweke timu za taifa zinakula kichapo tu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
La mwisho Yanga mwambie mganga wenu akafukue dawa pale taifa maana tangu aweke timu za taifa zinakula kichapo tu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app