Wanaweza wakatangaza Kwa Mkapa hatoki MTU siku mbili kabla wanapeleka mechi CCM Kirumba Mwanza, hapo watajichanganya ndio maana wanaona wapige kimya tuNyie Yanga ili muweze kusonga mbele CAF tumieni slogan ambayo Simba huwa wanaitumia kwenye mashinda ya CAF
Pia ua galagaza ,iwe mvua au jua ,kwa Mkapa hatoki mtu
Na kama mnaanzia nyumbani lazima mshinde goli zaidi ya 3 ili mkienda away mpambanie droo au mnadundwa tatu moja mnapita kiulaini kwenda hatua inayofuata
Lakini mkileta utopolo mtaishia kucheza Lingala
Kwa akili yako unafikiria yao maneno kama war in dar ndio yanayoleta ushindi? Kuna mipango na mikakati mizito sana nyuma yake ili kukamilisha jamboNyie Yanga ili muweze kusonga mbele CAF tumieni slogan ambayo Simba huwa wanaitumia kwenye mashinda ya CAF
Pia ua galagaza ,iwe mvua au jua ,kwa Mkapa hatoki mtu
Na kama mnaanzia nyumbani lazima mshinde goli zaidi ya 3 ili mkienda away mpambanie droo au mnadundwa tatu moja mnapita kiulaini kwenda hatua inayofuata
Lakini mkileta utopolo mtaishia kucheza Lingala
Kuna siku nilikuwa namwambia rafiki yangu mmoja sijui niliwaza nini lakini ghafla tu nikamwambia jamaa kwamba raiti kama timu zetu za Simba na Yanga hazina hali uadui na vinyongo nabwangekuwa timu zenye umoja baina ya wao kwa wao basi huu ndio ulikuwa muda sahihi kwa timu ya Yanga kuifata timu ya Simba na kumuuliza mbinu, mipango na mikakati ambayo mwenzie anafanya mpaka uwanja wa Mkapa umekuwa tishio kwa timu za nje ya nje wanapokuja kucheza na Simba. Lakini kwavile hizi timu zimekuwa na uhahasama kila mmoja anajiona yeye mbabe kwa mwenzio hata kama hana uwezo.Yanga wakikubali kuvua chupi wakapigwa goli zaidi ya moja kwa Mkapa wamekwisha.
Sijui watalaumu tff au watamlaumu injinia.
Nyie Yanga ili muweze kusonga mbele CAF tumieni slogan ambayo Simba huwa wanaitumia kwenye mashinda ya CAF
Pia ua galagaza ,iwe mvua au jua ,kwa Mkapa hatoki mtu
Na kama mnaanzia nyumbani lazima mshinde goli zaidi ya 3 ili mkienda away mpambanie droo au mnadundwa tatu moja mnapita kiulaini kwenda hatua inayofuata
Lakini mkileta utopolo mtaishia kucheza Lingala
Slogan za Manara hizo,Siyo za SimbaNyie Yanga ili muweze kusonga mbele CAF tumieni slogan ambayo Simba huwa wanaitumia kwenye mashinda ya CAF
Pia ua galagaza ,iwe mvua au jua ,kwa Mkapa hatoki mtu
Na kama mnaanzia nyumbani lazima mshinde goli zaidi ya 3 ili mkienda away mpambanie droo au mnadundwa tatu moja mnapita kiulaini kwenda hatua inayofuata
Lakini mkileta utopolo mtaishia kucheza Lingala
Kufukuzana kule wakina Manara unafikiri tena Kuna siri hapo.Pakacha limeshavuja hilo.Subiri vipimo hakuna wa kuzuiaKuna siku nilikuwa namwambia rafiki yangu mmoja sijui niliwaza nini lakini ghafla tu nikamwambia jamaa kwamba raiti kama timu zetu za Simba na Yanga hazina hali uadui na vinyongo nabwangekuwa timu zenye umoja baina ya wao kwa wao basi huu ndio ulikuwa muda sahihi kwa timu ya Yanga kuifata timu ya Simba na kumuuliza mbinu, mipango na mikakati ambayo mwenzie anafanya mpaka uwanja wa Mkapa umekuwa tishio kwa timu za nje ya nje wanapokuja kucheza na Simba. Lakini kwavile hizi timu zimekuwa na uhahasama kila mmoja anajiona yeye mbabe kwa mwenzio hata kama hana uwezo.
Kwa nini wanajeshi wanaimba nyimbo wakijiandaa kwenda vitani?Kwa akili yako unafikiria yao maneno kama war in dar ndio yanayoleta ushindi? Kuna mipango na mikakati mizito sana nyuma yake ili kukamilisha jambo
Usidanganywe kuwa simba kiliwapeleka sligans tu,kuna uovu mwingi sana walikuwa wanafanyaNyie Yanga ili muweze kusonga mbele CAF tumieni slogan ambayo Simba huwa wanaitumia kwenye mashinda ya CAF
Pia ua galagaza ,iwe mvua au jua ,kwa Mkapa hatoki mtu
Na kama mnaanzia nyumbani lazima mshinde goli zaidi ya 3 ili mkienda away mpambanie droo au mnadundwa tatu moja mnapita kiulaini kwenda hatua inayofuata
Lakini mkileta utopolo mtaishia kucheza Lingala
KWA NN USEMI UKWELI. WAMESHATOLEWANyie Yanga ili muweze kusonga mbele CAF tumieni slogan ambayo Simba huwa wanaitumia kwenye mashinda ya CAF
Pia ua galagaza ,iwe mvua au jua ,kwa Mkapa hatoki mtu
Na kama mnaanzia nyumbani lazima mshinde goli zaidi ya 3 ili mkienda away mpambanie droo au mnadundwa tatu moja mnapita kiulaini kwenda hatua inayofuata
Lakini mkileta utopolo mtaishia kucheza Lingala
HahahahaKWA NN USEMI UKWELI. WAMESHATOLEWA
Masikini Utopolo na ushamba wa kukwea pipaView attachment 1893666
Yanga inashinda kutokana na maandalizi kabambe, na ubora wa kikosi! Sisi siyo watu wa kutegemea slogan, mapaka, au kupulizia dawa za rungu kwenye vumba vya wapinzani wetu kama nyinyi mbumbumbu fc.
Binafsi simshangai sana huyu dogo maana inaweza ikawa si usamba, ila tatizo la kisaikolojia tu. Kuna mchezaji wa Arsenal miaka hiyo alikuwa anaitwa Dennis Bergkamp raia wa Uholanzi, alikuwa yuko radhi atangulie peke yake kwa usafiri mwingine lakini sio ndegeMasikini Utopolo na ushamba wa kukwea pipaView attachment 1893666
Ni kweli Bergkamp alikuwa anakwea treni wanamkuta Munich. Vilevile, ulichosema ni sahihi ndege inaogofya sana wakati wa kupaa hata uwe mzoefu hali hiyo inakutokea. Kwa hiyo, sio sababu ya ushamba wa kutopanda ndege.Binafsi simshangai sana huyu dogo maana inaweza ikawa si usamba, ila tatizo la kisaikolojia tu. Kuna mchezaji wa Arsenal miaka hiyo alikuwa anaitwa Dennis Bergkamp raia wa Uholanzi, alikuwa yuko radhi atangulie peke yake kwa usafiri mwingine lakini sio ndege