Nyie Yanga ili muweze kusonga mbele CAF tumieni slogan ambayo Simba huwa wanaitumia kwenye mashinda ya CAF
Pia ua galagaza ,iwe mvua au jua ,kwa Mkapa hatoki mtu
Na kama mnaanzia nyumbani lazima mshinde goli zaidi ya 3 ili mkienda away mpambanie droo au mnadundwa tatu moja mnapita kiulaini kwenda hatua inayofuata
Lakini mkileta utopolo mtaishia kucheza Lingala
Pia ua galagaza ,iwe mvua au jua ,kwa Mkapa hatoki mtu
Na kama mnaanzia nyumbani lazima mshinde goli zaidi ya 3 ili mkienda away mpambanie droo au mnadundwa tatu moja mnapita kiulaini kwenda hatua inayofuata
Lakini mkileta utopolo mtaishia kucheza Lingala