Kwa sababu ganiWakuu kesho saa nane mchana kutakuwa na mkutano wa Yanga na wanahabari.
Tusubiri watatii agizo la mahakama au watakata rufaa.
Bundi katua Jangwani,ugali wa moto mboga ya moto.
Hakuna mgogoro Yanga.Migogoro imeamia kwa jirani.
Chama hana bahati, alikotoka kulikuwa na migogoro. Mpaka anaondoka aliacha ile migogoro ipo kwenye progress ya kutafutiwa suluhu.
Suluhu ikaonekana kupatikana wakati tayari mwamba kasepa.
Alipofikia huko ugenini nako hata mshahara wa mwezi mmoja bado hajaanza kuchukua tayari migogoro imeanza.
Daah hizi timu pasua kichwa sana.
Hukumu ya 2023, a year back, halafu linaletwa ombi la kukazia hukumuβ¦so funny.Mtasubiri sana huyo bundi kutua Jangwani. Hii ndiyo timu ya wananchi hatushindwi kitu. Hao wazee wanga, kazi yao kupaa wataweza wapi kuiendesha timu. Tabu iko palepale...
#yangadaimambelenyumamwiko
π¨π©π¨π©π¨π©π¨π©π¨π©π¨π©π¨π©
Engineer afuate katiba,vinginevyo sisi wanachama halisi wa Yanga tutakiwasha mahakamani tenaMtasubiri sana huyo bundi kutua Jangwani. Hii ndiyo timu ya wananchi hatushindwi kitu. Hao wazee wanga, kazi yao kupaa wataweza wapi kuiendesha timu. Tabu iko palepale...
#yangadaimambelenyumamwiko
π¨π©π¨π©π¨π©π¨π©π¨π©π¨π©π¨π©
π π Mbumbumbu bhana .Code gani bhana! Hamna code hapo katiba ifuatwe
Sawa ila huko mbeleni tusikuone ukibadili gia.Hakuna mgogoro Yanga.
Mbumbumbu mmejaa kwenye 18.
Yaani hata mnashindwa kutegua hii code.
Na me nitaawacha sitamwambia, Wacha mfurahi usiku huu tu
Code gani we tapeli? ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna mgogoro Yanga.
Mbumbumbu mmejaa kwenye 18.
Yaani hata mnashindwa kutegua hii code.
Na me nitaawacha sitamwambia, Wacha mfurahi usiku huu tu
π π Mbumbumbu mnazubaishwaSawa ila huko mbeleni tusikuone ukibadili gia.
Mi navyojua hata stunt zina limitations zake, huwezi ukafanya stunt na mahakama kwa ku gain attentions.
We finna seeπ π Mbumbumbu mnazubaishwa
Tarehe 8 mtapigwa 8
Sio mbali fikiria sana hiyo game.
Achana na haya mambo
Mbumbumbu π πWe finna see