Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Wakuu kesho saa nane mchana kutakuwa na mkutano wa Yanga na wanahabari.
Tusubiri watatii agizo la mahakama au watakata rufaa.
Bundi katua Jangwani, ugali wa moto mboga ya moto.
Pia, soma=> Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!