Yanga: Mkutano na wanahabari tarehe 17.07.2024

Yanga: Mkutano na wanahabari tarehe 17.07.2024

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
1721166636176.png

Wakuu kesho saa nane mchana kutakuwa na mkutano wa Yanga na wanahabari.

Tusubiri watatii agizo la mahakama au watakata rufaa.

Bundi katua Jangwani, ugali wa moto mboga ya moto.

Pia, soma=> Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!
 
Wakuu kesho saa nane mchana kutakuwa na mkutano wa Yanga na wanahabari.

Tusubiri watatii agizo la mahakama au watakata rufaa.


Bundi katua Jangwani,ugali wa moto mboga ya moto.
Kwa sababu gani
 
Migogoro imeamia kwa jirani.

Chama hana bahati, alikotoka kulikuwa na migogoro. Mpaka anaondoka aliacha ile migogoro ipo kwenye progress ya kutafutiwa suluhu.

Suluhu ikaonekana kupatikana wakati tayari mwamba kasepa.

Alipofikia huko ugenini nako hata mshahara wa mwezi mmoja bado hajaanza kuchukua tayari migogoro imeanza.

Daah hizi timu pasua kichwa sana.
 
Mtasubiri sana huyo bundi kutua Jangwani. Hii ndiyo timu ya wananchi hatushindwi kitu. Hao wazee wanga, kazi yao kupaa wataweza wapi kuiendesha timu. Tabu iko palepale...

#yangadaimambelenyumamwiko
🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩
 
Migogoro imeamia kwa jirani.

Chama hana bahati, alikotoka kulikuwa na migogoro. Mpaka anaondoka aliacha ile migogoro ipo kwenye progress ya kutafutiwa suluhu.

Suluhu ikaonekana kupatikana wakati tayari mwamba kasepa.

Alipofikia huko ugenini nako hata mshahara wa mwezi mmoja bado hajaanza kuchukua tayari migogoro imeanza.

Daah hizi timu pasua kichwa sana.
Hakuna mgogoro Yanga.

Mbumbumbu mmejaa kwenye 18.
Yaani hata mnashindwa kutegua hii code.

Na me nitaawacha sitamwambia, Wacha mfurahi usiku huu tu
 
Mtasubiri sana huyo bundi kutua Jangwani. Hii ndiyo timu ya wananchi hatushindwi kitu. Hao wazee wanga, kazi yao kupaa wataweza wapi kuiendesha timu. Tabu iko palepale...

#yangadaimambelenyumamwiko
🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩
Hukumu ya 2023, a year back, halafu linaletwa ombi la kukazia hukumu…so funny.
Kesi iliyosikilizwa upande mmoja bila ya kuwaita walalamikiwa. Full upwagu
 
Mtasubiri sana huyo bundi kutua Jangwani. Hii ndiyo timu ya wananchi hatushindwi kitu. Hao wazee wanga, kazi yao kupaa wataweza wapi kuiendesha timu. Tabu iko palepale...

#yangadaimambelenyumamwiko
🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩
Engineer afuate katiba,vinginevyo sisi wanachama halisi wa Yanga tutakiwasha mahakamani tena
 
Hakuna mgogoro Yanga.

Mbumbumbu mmejaa kwenye 18.
Yaani hata mnashindwa kutegua hii code.

Na me nitaawacha sitamwambia, Wacha mfurahi usiku huu tu
Sawa ila huko mbeleni tusikuone ukibadili gia.

Mi navyojua hata stunt zina limitations zake, huwezi ukafanya stunt na mahakama kwa ku gain attentions.
 
Hakuna mgogoro Yanga.

Mbumbumbu mmejaa kwenye 18.
Yaani hata mnashindwa kutegua hii code.

Na me nitaawacha sitamwambia, Wacha mfurahi usiku huu tu
Code gani we tapeli? ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Engineer aliwashika pabaya makolo Leo wajamba vibaya Sana Kwa furaha.
 
Sawa ila huko mbeleni tusikuone ukibadili gia.

Mi navyojua hata stunt zina limitations zake, huwezi ukafanya stunt na mahakama kwa ku gain attentions.
😅😅 Mbumbumbu mnazubaishwa
Tarehe 8 mtapigwa 8
Sio mbali fikiria sana hiyo game.
Achana na haya mambo
 
Back
Top Bottom