Yanga mlidhani tarehe 2 mbali?

Afu naskia hizi mechi Manara huwa anabeti afu anawaua Yanga
 
Aisee..historia hii
 

Attachments

  • 18957c7504e640a1a89ca46648ec97c6.jpg
    72.8 KB · Views: 3
Yanga inawatesa sana misukule ya Mo.
 
Mimi kwa jicho langu naona kesho Yanga wanawafunga Tunisia labda Yanga wakafungwe huko kwao marudio. Shida ni kwamba watafunga moja tuu.
Bora wauchune wasifunge hata hilo moja, maana watakuwa wamemjeruhi mwarabu, mikakati atayowekewa kule arabuni ni kuvunjwa vunjwa huo mwiko huko nyuma halafu anachomekwa chuma cha moto
 
Wenzako wapo serious we unaleta utani hapo wanawaza Caf champions league group stage watapangiwa na nani
Kweni ugomvi mkuu?
Kama uko serious na makundi si tupo serious na mchezo wa kesho.
 
Nabi ameshaona kwa timu Ile hatoboi akienda Tunisia anabeba kabisa mabegi yake
 
Hakuna kauli mbiu iliyoanzishwa na Manara tangu kahamia yanga afu ikawa na impact

"Return of champion" walikufa nje ndani

"Iwe mvua iwe jua" waka draw

"Ujanja ni kuchanja" ????
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] 'Return of Champion' hii itakuwa bongo movie
 
Mambo yameisha: hatimaye caf imemteua ahmed arajiga refa wa mechi ya yanga vs africain kesho.

Kolo mkanywe sumu ya panya sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…