Afu naskia hizi mechi Manara huwa anabeti afu anawaua YangaIle kupigwa Kama ngoma ndo kesho.
Yanga niliwambia msim huu mtapanda ndege Mara mbili tu baada ya Apo Ni mwendo wa Bus Yutong , bajaji, boda, bolt.
Mngepanda ndege walau Mara tatu lakin wale wasudani wakaharbu mipango wakacheza hapa kwetu home and away.
Morrison naskia anatuma msg kila sku kwa mataita wa Simba anasema mateso anayopata Yanga ni mazito.
Afu naskia hizi mechi Manara huwa anabeti afu anawaua Yanga
Sasa kama bado ulikua kwenye viuno vya wazi wako sisi kama jamii tukusaidie vipi?Aisee..historia hii
Yanga inawatesa sana misukule ya Mo.Ile kupigwa Kama ngoma ndo kesho.
Yanga niliwambia msim huu mtapanda ndege Mara mbili tu baada ya Apo Ni mwendo wa Bus Yutong , bajaji, boda, bolt.
Mngepanda ndege walau Mara tatu lakin wale wasudani wakaharbu mipango wakacheza hapa kwetu home and away.
Morrison naskia anatuma msg kila sku kwa mataita wa Simba anasema mateso anayopata Yanga ni mazito.
Afu naskia hizi mechi Manara huwa anabeti afu anawaua Yanga
Bora wauchune wasifunge hata hilo moja, maana watakuwa wamemjeruhi mwarabu, mikakati atayowekewa kule arabuni ni kuvunjwa vunjwa huo mwiko huko nyuma halafu anachomekwa chuma cha motoMimi kwa jicho langu naona kesho Yanga wanawafunga Tunisia labda Yanga wakafungwe huko kwao marudio. Shida ni kwamba watafunga moja tuu.
Kweni ugomvi mkuu?Wenzako wapo serious we unaleta utani hapo wanawaza Caf champions league group stage watapangiwa na nani
Hajui huyo kwamba enzi kina Kibadeni wanacheza Simba, Simba ilishawahi kuwadunda Yanga bao 6-0Sasa kama bado ulikua kwenye viuno vya wazi wako sisi kama jamii tukusaidie vipi?
Bora wauchune wasifunge hata hilo moja, maana watakuwa wamemjeruhi mwarabu, mikakati atayowekewa kule arabuni ni kuvunjwa vunjwa huo mwiko huko nyuma halafu anachomekwa chuma cha moto
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] 'Return of Champion' hii itakuwa bongo movieHakuna kauli mbiu iliyoanzishwa na Manara tangu kahamia yanga afu ikawa na impact
"Return of champion" walikufa nje ndani
"Iwe mvua iwe jua" waka draw
"Ujanja ni kuchanja" ????
Kwani ashura cheupe yuko wapi?Wanadhani kutofuzu Club bingwa kulisababishwa na kauli mbiu
Now Ally Kamwe namuona mnyonge sana anaogopa kutoka kifua mbele kwa maneno ya kishujaa yqsije kumkuta ya Al hilal
Mpumeleo,simba wakisika hii kitu wanapata kichefu chefu,MPUMELELO.
Ukijaga kwenye jukwaa hili akili huwa unaacha wapi?