Kwanza si kweeli Bbarca walimuuza Zlatan kwa PSG,ukweli nni kuwa Zlatanaliuzwa kwa Ac Milan. Kuhusu wachezaji wa kigeni, uweppo wao kuna faida kubwa na mja ni hii, inawafanya waachezajiwzawa, kuujituma na kupambana ili kupata namba, a kuacha kubweteka. seaon iliyopita tuliona jinsi Msuva na Ngassa, walivyopambana, mpaka kujihakikishia namba kwenye kikozi. Mashindano haya, utaona Busungu, anavyopambana ili apate namba,au huyu dogo to Mbeya, aavopambana ili kuupata namba. Faida, ni kubwa mno, kutokufunga, bahati mbaya, umbuka hii timuu, achezaji mbele wengi wapya hawajazoe kucheza pamoja. Tumpe muda kocha aijenge timu.