Yanga: Mmeokota wapi hawa mafowadi?

Yanga: Mmeokota wapi hawa mafowadi?

Wana Yanga, tumedhalishwa sana tena sana. Tumefungwa 5 - 3. Timu ilicheza mpira wa ndondo-si wa kimataifa.

Nilisema hii timu mbovu. Wamesajili ovyo ovyo, watu mapovu yakawatoka hapa!!
Cc: kabange.rm juma miraji libeva Yombayomba bila kumsahau babu yangu mpendwa Pdidy
 
Last edited by a moderator:
eti wa kimataifa,malizeni east africa kwanza ndo muende kwa waarabu.hapa tu mnashindwa.
 
eti wa kimataifa,malizeni east africa kwanza ndo muende kwa waarabu.hapa tu mnashindwa.

mimi nina foward mbovu ila kila mwaka nimo wewe mwenye foward nzuri kila siku unapambana na kina prisons,jkt ruvu na mgambo usishuke daraja.km hauna makengeza basi jana uliiona final ya kagame pale taifa kwani wanaume walichuana kwei kwei na sio mchezo.wakat huo wewe huko chumban unatandika kitanda!
 
Kwanza si kweeli Bbarca walimuuza Zlatan kwa PSG,ukweli nni kuwa Zlatanaliuzwa kwa Ac Milan. Kuhusu wachezaji wa kigeni, uweppo wao kuna faida kubwa na mja ni hii, inawafanya waachezajiwzawa, kuujituma na kupambana ili kupata namba, a kuacha kubweteka. seaon iliyopita tuliona jinsi Msuva na Ngassa, walivyopambana, mpaka kujihakikishia namba kwenye kikozi. Mashindano haya, utaona Busungu, anavyopambana ili apate namba,au huyu dogo to Mbeya, aavopambana ili kuupata namba. Faida, ni kubwa mno, kutokufunga, bahati mbaya, umbuka hii timuu, achezaji mbele wengi wapya hawajazoe kucheza pamoja. Tumpe muda kocha aijenge timu.


Yanga kimeo tu....sifa za magazeti ya kibongo tu
 
Kiongozi utalaumu vipi wachezaji wa kigeni wakati timu yenyewe fani yao ni kuvua kambare wa mafuriko bonde la jagwani?
Kama huamini angalia mechi zao za kujipima nguvu, walicheza na Friends rangers, Polisi kombaini. Huo uwezo wa kuzifunga timu kubwa zenye uwezo kisoka kama Gormahia na Azam watautoa wapi!
 
Busungu anaruka ruka tu uwanjani

Unajua tatizo la Yanga wanafikiri wanajua sana, kinachotokea sasa hivi ni Simba kuwaingiza mkenge ili Yanga wasajili vimeo vya kufa mtu. Wanasubiri Simba itangaze kumtaka mchezaji fulani ili wao waingilie kati na kumchukua, sasa kilichopo ni Mnyama kutangaza nia ya kumchukua mchezaji yeyote kimeo ili wajinga waingie kichwa kichwa. Tumeiona kwa Busungu, Kaseke na sasa hivi tunataka tuwaingize mkenge kwa mchezaji mmoja wa Gormahia sibirini mtaona sio siku nyingi.
 
Na mwaka huu watasajili Majaja wengi kweli, wataishia kusubiri magoli ya ndondokela kama Jaja.
 
Hiki ndio kitu ninachowapendea mashabiki wa yanga,wako wazi kuzungumzia matatizo ya timu yao bila woga na hatimaye timu inatengamaa na hatimae timu inafanya vizuri tofauti na wazee wa kariakoo timu yao ikifanya vibaya wanaacha kuzungumzia timu yao na kila asubui wanazungumzia tim za watu...hongereni kwa hilo wana yanga...timu itakaa vzuri
 
Wameishiwa maneno kuna mmoja huwa anachonga sana lakini nashangaa amekubali na kusema eti itatengemaa, labda wasubiri kupigwa mkono tena itatengemaa tu.
Na kwa taarifa yenu msimu huu gabachori hahongi tena anahofia kukamatwa kama kilichompata Vikao vya NEC Dodoma.
 
Na mtasota sana kufikia rekodi ya Simba kimataifa, hiyo ya Kagame tu imewashinda kuifikia ya Simba.
 
kiongozi utalaumu vipi wachezaji wa kigeni wakati timu yenyewe fani yao ni kuvua kambare wa mafuriko bonde la jagwani?
Kama huamini angalia mechi zao za kujipima nguvu, walicheza na friends rangers, polisi kombaini. Huo uwezo wa kuzifunga timu kubwa zenye uwezo kisoka kama gormahia na azam watautoa wapi!
chiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii................................
 
Wana JF

Naamini wote tu wapenzi wa timu zetu za ndani linapokuja suala la Utaifa kwanza. U Yanga, U Simba, U Azam, U Mbea City, nk tupa kuleee!

Mm ni shabiki na mpenzi sana wa Young Africans Club ila hili lina nibore!

Hili Kombe la Kagame limeonesha maajabu sana ktk timu zetu hasa Yanga!

Niliangalia ile mechi ya Yanga Vs Telecom, baadae Yanga Vs KMKM, na leo Yanga Vs Khartoom National Sports Club, kweli Yanga ni majanga!


Beki ya Yanga na Midfielder wako njema hatare, utadhani sauti ya King Kiba ( Sorry Diamond followers). Wanalinda goli na Wanaokoa hatari kwa uhakika na kwa kujiamini sana (Self Confidence) na wanapeleka mipira mbele kila dk utadhani Umoja wa siafu!
Hapa sina Comment, only a Big, Big up!

Licha ya kuwa na Kocha Mzungu (raia wa kigeni mshahara mkubwa), kusajili mafowadi wengi tena wa Kigeni akina Hamis Tambwe, Coutinoh, Donald Ngoma, nk hadi 7 na kuacha vijana wetu Wazalendo wa ndani, hawa mafowadi ni butu balaa!!
Huyu Ngoma ni bora arudishwe kwao tu mapema. Badala ya kuscore yeye anaokoa mabao (anakuwa tena mpinzani wa timu yake).

Je ndio wamekuja kujifunza mpira Bongo?

Barcelona walikuwa na Ibrahimvic, huyu alipiga shuti 20 na kuscore 1. Barca wakamuuza PSG, misimu 3 iliyopita amekuwa moto sana ktk ligi yao.

Hawa akina Tambwe, Ngoma wanapiga shuti 20, score rate ni zero (0) wakiishia tu kujiangusha na kubutua tu nje! Ni hasara sana kwangu mshabiki (huwa sijiamini kama tutashinda, hata jezi huwa navaa kwa kuvizia) na timu kwa ujumla.

Mm pia napendekeza hawa mafowadi wauzwe upya tena.

TFF punguzeni idadi ya wachezaji wa kigeni hadi wa3 . Hawa wanaua Soka la ndani na wanakomba mishahara mikubwa, kumbe kureee kabisaa!!
Igeni mfano wa SPAIN ( sie tunaita ubaguzi ila wao wanajua), imesaidia sana kuwa na Strong National team. Ukienda pale unachezea kichapo kitakatifu!!

Pia tuache mazoea ya kusajili mchezaji kwa kuangalia Performance ya mechi 1 au 2! Mfano: Ngoma.

Je ligi ikianza si pata chimbika kwa Simba?

watanzania watu wa ajabu hujifanya kila kitu wanajua wakati hakuna lolote na ndio maana hatuendelei
 
Back
Top Bottom