SAYVILLE JF-Expert Member Joined Mar 25, 2010 Posts 7,895 Reaction score 12,975 Nov 9, 2022 #1 Tukubali tu Yanga hamna hulka ya kushinda mechi ngumu kama hizi. Nilisikia mmepeleka wazee kadhaa huko kuongeza nguvu. Swali langu, ni damu gani mmemwaga kupata ushindi huu?
Tukubali tu Yanga hamna hulka ya kushinda mechi ngumu kama hizi. Nilisikia mmepeleka wazee kadhaa huko kuongeza nguvu. Swali langu, ni damu gani mmemwaga kupata ushindi huu?
Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Nov 9, 2022 #2 Hakuna SAYVILLE said: Tukubali tu Yanga hamna hulka ya kushinda mechi ngumu kama hizi. Nilisikia mmepeleka wazee kadhaa huko kuongeza nguvu. Swali langu, ni damu gani mmemwaha kupata ushindi huu? Click to expand... Hakuna Cha kafara hayo tumewaachia🦁
Hakuna SAYVILLE said: Tukubali tu Yanga hamna hulka ya kushinda mechi ngumu kama hizi. Nilisikia mmepeleka wazee kadhaa huko kuongeza nguvu. Swali langu, ni damu gani mmemwaha kupata ushindi huu? Click to expand... Hakuna Cha kafara hayo tumewaachia🦁
Alistalikopaul JF-Expert Member Joined Feb 2, 2019 Posts 720 Reaction score 1,995 Nov 9, 2022 #4 Tutafanyaje sasa na wew ni mwana jf kama sisi ngoja tu tusome uharo ulioandika