Yanga mna Juhudi, ombeni mpewe majaaliwa!

Yanga mna Juhudi, ombeni mpewe majaaliwa!

Siku hizi mafanikio yenu yamehamia kwenye kufunga magoli mengi, huku pointi zikibakia kuwa zilezile! Na mkiendelea pia kubakia nafasi ile ile ya pili!
Kuna kushindwa na kuna kushindwa kwa heshima. Tupo nafasi ya pili kutokana na kuanza ligi tukitoa sare nyingi. Halafu sisi hatukamii kama nyie!!

Tulishatengeneza njia hata tukiwa wa pili Mwakani tunashiriki tena ligi ya Mabingwa!!
 
Mimi mpaka muda huu ninachofahamu Yanga ndiye Bingwa mtetezi wa Ligi kuu! Na pia atakuwa Bingwa wa AZFC, kwa mara ya pili mfululizo!

Matarajio yangu mpaka sasa; Mfungaji bora atakuwa ni Fiston Mayele! Golikipa bora ni Diarra! Kiungo bora ni Bangala! Kocha bora wa ligi kuu msimu huu ni Profesa Nabi!!

Na wakati timu ikiendelea kung'ara kwenye ligi ya ndani, na Kimatafa pia Yanga ni habari ya mjini. Na hii ni baada ya kumfunga goli 3-1 Tp Mazembe; timu yenye historia kubwa kwenye soka la Afrika.
Mungu awape nini Young Africans, aka Wananchi!!

Hiyo Simba inayofunga magoli mengi; mchezaji wake mwenye magoli mengi ni Moses Phiri (magoli 10)!! Yanga inayofunga magoli machache; mchezaji wake Fiston Kalala Mayele anaongoza kwenye orodha ya wafungaji bora, na magoli yake 15!
Mpira ni takwimu,ingependeza Zaid ungeweka na idad ya mechi alizocheza mayele na alizocheza phiri.
Kiukwel mashabik wa yanga mnatia was was sana mna mahaba na timu yenu had mmepitiliza.
Alafu akil za Wana yanga zinashabiana sana ,Kuna kitu hakipo sawa Kwa nyie Wana yanga .
Hata tukiwa sehemu tukichek mpira ukijumuika na hawa viumbe ni shida.
Kwanza ni wabish balaa ,hata kitu kikiwa waz watagoma kuwa sio kwel.
Nyie watu ni hatar Kwa kuponda wachezaj wa Simba mara chama ni wakawaida huku viongoz wenu wanataman hata kesho chama awe mwanajangwani .
Mara chama hamfikii Aziz k,mara kaikwenda .ukirud Kwa Wana Simba ni watu wanaokubal waz km mchezaj wa yanga fund tena bila hiyana .mfano mayele ,bangala,diarra,lomalisa, fans wa Simba huwa wanawasifia wazwaz.
Yanga Sasa kipind konde boy tupo nae mlikua mnasema ni WA kawaida sana yaan kwakifup hamuwezag kabisa kukubal kitu chochote Cha Simba.
Utafikir mmezaliwa mama mmoja
 
Kwani mwaka Jana ulikuwa klabu bingwa? Si ulitolewa ukaangukia shirikiso acha ujuaji..[emoji3][emoji3]
Wakati huo Yanga walikuwa wanashiriki nini?? Au kuwa umesahau wao wafrushwa mapema tu hata hatua ya makundi hawakunusa!!
 
Back
Top Bottom