Yanga mnakwama wapi? Kwanini uchaguzi msifanyie ukumbi wa kimataifa kama Simba?

Yanga mnakwama wapi? Kwanini uchaguzi msifanyie ukumbi wa kimataifa kama Simba?

Ndo maana kuiga kizuri si mbaya..Kwahivyo sasa Simba Kimataifa zaidi na wewe twende Kimataifa.
HUNA HOJA TENA KUNDULE LA KWAKO ULIKUWA HULIONI...??? YAANI MWAKA MMOJA HUU NDIO KILA KITU MMESAHAU....???
 
Kama Yanga walivyokuwa wakitamba wakati ule na fedha za Kanjibai Manji lazima kuwe na shaka[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanaume anayetamba kwa hela za mwanaume mwenzie ni wa kutilia shaka
 
Hivi Yanga mnakwama wapi? Ikiwa leo Klabu ya Yanga inaandika historia nyingine ya kuwachagua viongozi wapya na imara, ambao wanaotarajiwa kuipeleka mbele zaidi Yanga na kuleta maendeleo ili klabu iwe kama Simba SC ambayo imeonyesha njia ambayo kuiga si dhambi.

Sasa kwanini basi uchaguzi huu mkuu muhimu, usifanyike kwenye ukumbi wa Kimataifa Julius Nyerere International Convention Center kama Simba SC, ili kuupa hadhi uchaguzi huu na vile vile kuweka kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ya kufahamu kwamba historia iliandikwa hapa.?View attachment 1088759View attachment 1088760View attachment 1088761View attachment 1088762
Hivi mikia hamkung'oa viti ukumbini?
 
Hivi Yanga mnakwama wapi? Ikiwa leo Klabu ya Yanga inaandika historia nyingine ya kuwachagua viongozi wapya na imara, ambao wanaotarajiwa kuipeleka mbele zaidi Yanga na kuleta maendeleo ili klabu iwe kama Simba SC ambayo imeonyesha njia ambayo kuiga si dhambi.

Sasa kwanini basi uchaguzi huu mkuu muhimu, usifanyike kwenye ukumbi wa Kimataifa Julius Nyerere International Convention Center kama Simba SC, ili kuupa hadhi uchaguzi huu na vile vile kuweka kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ya kufahamu kwamba historia iliandikwa hapa.?View attachment 1088759View attachment 1088760View attachment 1088761View attachment 1088762
Tatizo yanga wana inferior wakijiita team ya wananchi ndyo wanajiona ni masikini
 
Hivi Yanga mnakwama wapi? Ikiwa leo Klabu ya Yanga inaandika historia nyingine ya kuwachagua viongozi wapya na imara, ambao wanaotarajiwa kuipeleka mbele zaidi Yanga na kuleta maendeleo ili klabu iwe kama Simba SC ambayo imeonyesha njia ambayo kuiga si dhambi.

Sasa kwanini basi uchaguzi huu mkuu muhimu, usifanyike kwenye ukumbi wa Kimataifa Julius Nyerere International Convention Center kama Simba SC, ili kuupa hadhi uchaguzi huu na vile vile kuweka kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ya kufahamu kwamba historia iliandikwa hapa.?View attachment 1088759View attachment 1088760View attachment 1088761View attachment 1088762
Hivi nyie mashabiki mbùmbumbu kwanini mnapenda kujiahibisha hivyo?
 
Hahaaaaa wanaume kama mabinti. Mambo ya yanga we yanakusumbua nn? Mbona mliwahi kwenda na Noah songea hatukuongea? Ukinunua nguo mpya hupaswi kuitupa.
 
Mikia sio kila kitu mnafananisha. . Ubingwa tumechukua mara nyingi, Mechi tumewafunga zaidi, Magoli tumewafunga zaidi. . Tukutane Serena hotel 11 /5 live Azam TV. . Wananchi wakimtaja mwekezaji mpya. Za chini ya carpet baba Jesca mgeni wa heshima
 
Thubutuu yakee...Vyura endeleeni kuota ndoto..!
Mikia sio kila kitu mnafananisha. . Ubingwa tumechukua mara nyingi, Mechi tumewafunga zaidi, Magoli tumewafunga zaidi. . Tukutane Serena hotel 11 /5 live Azam TV. . Wananchi wakimtaja mwekezaji mpya. Za chini ya carpet baba Jesca mgeni wa heshima
 
kikubwa zaidi kupapenda hapo police mess ni usalama huwa hizi team zinaogopa fujo,hata leo simba kukiwa na tension mkutano utapelekwa hapo
 
Back
Top Bottom