Yanga mnatia taifa aibu nie si wakufanya hivi

Kama aibu walishakua nayo Simba, Mjumbe wa sasa wa kamati ya utendaji Mwina Seif Kaduguda Alimua azuie Mipira, Jezi, na Vifaa vya Mazoezi kwakua Club ya Simba iIishindwa kumlipa fedha zake alizo wanunulia wachezaji Chapati tena akilalamika kudhulumiwa kwenye vyombo vya habari .
Lakini Wanachama wa Simba walivyokua Mbumbumbu wamemchagua Kaduguda yuleyule kwenye kamati tendaji. Lage aliposema Simba ni mbumbumbu hakukosea.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao Yanga wa ajabu sana mechi ya Simba aliyobamizwa Simba ilikataa kuchukua mapato ikamwachia Yanga akapewa Mil.165 mara kazimaliza? au Yanga wanacheza kamari?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…