Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
🤣Taifa linaenda kuingia kwenye aibu kubwa ya karne kesho. View attachment 2643693
Hamia AlgeriaTaifa linaenda kuingia kwenye aibu kubwa ya karne kesho. View attachment 2643693
tunawapiga 3 kwa 2Mimi ni shabiki WA Yanga.
HAIWEZEKANI KUWAFUNGA wale jamaa wakiwa KWAO.
Kama kwetu wametufunga sembuse KWAO.
Tena mbele ya kombe.
Kuna Kila DALILI ya KUFUNGWA goli 4-0.
Tayari Simba ilishaweka hiyo rekodi mwaka 1993, hapo Yanga haijavunja rekodi bali imeifikia rekodi ya Simba, ingawa hata ukipiga chenga kesho ni kichapo cha mbwa mwizi. Usijifanye kutoka nje ya reli au u barabara ya mwendo kasi!
Mkuu ni 3 kalai inaonyesha sema unaweza kuwa sahihi zaidi tena mkifunguka zaidi ntapigwaMimi ni shabiki WA Yanga.
HAIWEZEKANI KUWAFUNGA wale jamaa wakiwa KWAO.
Kama kwetu wametufunga sembuse KWAO.
Tena mbele ya kombe.
Kuna Kila DALILI ya KUFUNGWA goli 4-0.
🤣🤣Hamia Algeria
SureMkuu ni 3 kalai inaonyesha sema unaweza kuwa sahihi zaidi tena mkifunguka zaidi ntapigwa
🤣Tayari Simba ilishaweka hiyo rekodi mwaka 1993, hapo Yanga haijavunja rekodi bali imeifikia rekodi ya Simba, ingawa hata ukipiga chenga kesho ni kichapo cha mbwa mwizi. Usijifanye kutoka nje ya reli au u barabara ya mwendo kasi!
Aibu sana kuwa luza katika kombe la luza. Kïĺaza kati ya vilazaYanga inao mlima wakupanda kuhakikisha inawafunga goli mbili kwa 0 USM Alger ili iweze kuibuka bingwa kunako michuano ya Kombe la shirikisho barani Africa. Hilo ni Jambo gumu kutokea lakini kila la kher Yanga
Utabiri wangu FT USM Alger Vs Yanga FT 1-0
tutaupanda huo mlimaYanga inao mlima wakupanda kuhakikisha inawafunga goli mbili kwa 0 USM Alger ili iweze kuibuka bingwa kunako michuano ya Kombe la shirikisho barani Africa. Hilo ni Jambo gumu kutokea lakini kila la kher Yanga
Utabiri wangu FT USM Alger Vs Yanga FT 1-0