Yanga mshindi wa pili Kombe la Shirikisho Afrika

Mimi ni shabiki WA Yanga.

HAIWEZEKANI KUWAFUNGA wale jamaa wakiwa KWAO.

Kama kwetu wametufunga sembuse KWAO.

Tena mbele ya kombe.

Kuna Kila DALILI ya KUFUNGWA goli 4-0.
tunawapiga 3 kwa 2
 
Tayari Simba ilishaweka hiyo rekodi mwaka 1993, hapo Yanga haijavunja rekodi bali imeifikia rekodi ya Simba, ingawa hata ukipiga chenga kesho ni kichapo cha mbwa mwizi. Usijifanye kutoka nje ya reli au u barabara ya mwendo kasi!
 
Mimi ni shabiki WA Yanga.

HAIWEZEKANI KUWAFUNGA wale jamaa wakiwa KWAO.

Kama kwetu wametufunga sembuse KWAO.

Tena mbele ya kombe.

Kuna Kila DALILI ya KUFUNGWA goli 4-0.
Mkuu ni 3 kalai inaonyesha sema unaweza kuwa sahihi zaidi tena mkifunguka zaidi ntapigwa
 
Tayari Simba ilishaweka hiyo rekodi mwaka 1993, hapo Yanga haijavunja rekodi bali imeifikia rekodi ya Simba, ingawa hata ukipiga chenga kesho ni kichapo cha mbwa mwizi. Usijifanye kutoka nje ya reli au u barabara ya mwendo kasi!
🤣
 
Aibu sana kuwa luza katika kombe la luza. Kïĺaza kati ya vilaza
 
Leo status za simu zitajaa maneno ya sisi tumevaa [emoji966] wao wamevaa Nini?
Ila mwanzo walijitapa kuwa wao ni wakubwa na lazima waje na kombe
 
tutaupanda huo mlima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…