Yanga mshindi wa pili Kombe la Shirikisho Afrika

Yanga mshindi wa pili Kombe la Shirikisho Afrika

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nafasi ya pili sio mbaya..ubaya kutochukua kombe hata moko.
 
Tayari Simba ilishaweka hiyo rekodi mwaka 1993, hapo Yanga haijavunja rekodi bali imeifikia rekodi ya Simba, ingawa hata ukipiga chenga kesho ni kichapo cha mbwa mwizi. Usijifanye kutoka nje ya reli au u barabara ya mwendo kasi!
Rudia kukomenti!
 
Yanga inao mlima wakupanda kuhakikisha inawafunga goli mbili kwa 0 USM Alger ili iweze kuibuka bingwa kunako michuano ya Kombe la shirikisho barani Africa. Hilo ni Jambo gumu kutokea lakini kila la kher Yanga
Utabiri wangu FT USM Alger Vs Yanga FT 0-1
Naona umeedit matokeo Ili uwanase maboya
 
Naona umeedit matokeo Ili uwanase maboya 😄 nahii ulinieditia😂
Screenshot_2023-06-04-08-16-23-44.jpg
 
Back
Top Bottom