Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawatutaupanda huo mlima
Rudia kukomenti!Tayari Simba ilishaweka hiyo rekodi mwaka 1993, hapo Yanga haijavunja rekodi bali imeifikia rekodi ya Simba, ingawa hata ukipiga chenga kesho ni kichapo cha mbwa mwizi. Usijifanye kutoka nje ya reli au u barabara ya mwendo kasi!
Shabiki uchwara! Hamia Simba!Mimi ni shabiki WA Yanga.
HAIWEZEKANI KUWAFUNGA wale jamaa wakiwa KWAO.
Kama kwetu wametufunga sembuse KWAO.
Tena mbele ya kombe.
Kuna Kila DALILI ya KUFUNGWA goli 4-0.
Naona umeedit matokeo Ili uwanase maboyaYanga inao mlima wakupanda kuhakikisha inawafunga goli mbili kwa 0 USM Alger ili iweze kuibuka bingwa kunako michuano ya Kombe la shirikisho barani Africa. Hilo ni Jambo gumu kutokea lakini kila la kher Yanga
Utabiri wangu FT USM Alger Vs Yanga FT 0-1
😅tutaupanda huo mlima
Tayari mkuu, 😂Mtoa mada agiza konyagi ndogo hapo grocery nakuja kulipa
Nikisha wanasa niwapeleke wapi😅Naona umeedit matokeo Ili uwanase maboya
Naona umeedit matokeo Ili uwanase maboya 😄 nahii ulinieditia😂
Usihame mada.. we mwanzo ulitabiri USMA anashinda moja bila...
Unanini chakupigwa wewe😄 au niambie nakupigajeUsihame mada.. we mwanzo ulitabiri USMA anashinda moja bila...
Lengo la kuedit Uzi ni nini? Ili uwapige uwatZ wenzio sio.. Acha utapeli