Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Huyu kocha wenu mpeni muda. Atawafikisha mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa side lakini ni wa kutoka unyamwezini.Toka lini mzungu akaitwa Side, huu ni utapeli
Huo ndo ukweli kabisa..Huyu kocha wenu mpeni muda. Atawafikisha mbali
Sindano hizoo ...sindano hizoo...bila sindano hakuna performanceKuna changamoto ya performance kwa baadhi ya wachezaji ambao awali walikuwa wanafanya vyema mfano Bacca, Pacome na Nzengeli.
Na Bado kolo kateseka sana na fomla ya kamati ya ufundi ya kushusha viwango vya wachezaji tukiwaambia watu wa kutegua mnasema anacheza namba ngapi? mbambaneni na Hali yenu.Kuna changamoto ya performance kwa baadhi ya wachezaji ambao awali walikuwa wanafanya vyema mfano Bacca, Pacome na Nzengeli.
Hayo mambo ya Magoma na Mzee Mpili.Na Bado kolo kateseka sana na fomla ya kamati ya ufundi ya kushusha viwango vya wachezaji tukiwaambia watu wa kutegua mnasema anacheza namba ngapi? mbambaneni na Hali yenu.
Hao ni PACHA. HIzo timu zimetekwa na CCM ila Yanga wamezidi.Yanga na CC Em hakuna tofauti hawataki kukosolewa
MagonjwaKuna changamoto ya performance kwa baadhi ya wachezaji ambao awali walikuwa wanafanya vyema mfano Bacca, Pacome na Nzengeli.