Yanga msimu huu wa Simba dhaifu wekeni record mpya ya goli 12

Yanga msimu huu wa Simba dhaifu wekeni record mpya ya goli 12

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Kama mliweza kuwafunga goli 5 nina uhakika mkikutana tena mnaweza kuwafunga goli 9 au 12.

Kwa ubora mlio nao kwa sasa na unyanya walionao Simba ya sasa nawashauri kaeni chini mkubaliane kuweka record mpya. Yaani goli chache ziwe ni 9
 
Kama mliweza kuwafunga goli 5 nina uhakika mkikutana tena mnaweza kuwafunga goli 9 au 12.

Kwa ubora mlio nao kwa sasa na unyanya walionao Simba ya sasa nawashauri kaeni chini mkubaliane kuweka record mpya. Yaani goli chache ziwe ni 9
Achana na Derby.
 
Tuuheshimu mpira kwanza. Kumpiga mtu goli 5 au haupangi inatokea tu. Huwa unatengenezwa mpango wa kushinda mechi na sio goli kadhaa. Sasa kwa mechi dhidi ya mtani huwa haitabiriki kwa hiyo sio rahisi kiivyo
 
Labda mganga wao afe.
Utaona simba watakiwasha na hutoamini kama ndio wale wastafu.
Yanga wakijisahau wanapigwa vilevile.usifanye mchezo na vibwengo..! Hata mzee anakua kijana siku hiyo.

Ndoto na denial

Kukiwasha ni uwezo na sio hamasa

Je kuna wachezaji wenye uwezo ?

Au chama?

Na
Beki na makipa yenu yalivyo wamchongo lol

Ninachoona mkijitahiid sana ni kupunguza magol tu from 5 to 2
 
VIJANA ALWAYS WANAWAZA SIMBA NA YANGA!!!!!!

ZITAWASAIDIA NINI KWENYE MAISHA??????
 
TFF na Board ya league isipofuata huu ushauri tutegemee kuporomoka kwa league yetu.
Huu upinzani sio halisi kabisa. Prince Dube amethibitisha hili
 

Attachments

  • VID-20240310-WA0004.mp4
    32 MB
TFF na Board ya league isipofuata huu ushauri tutegemee kuporomoka kwa league yetu.
Huu upinzani sio halisi kabisa. Prince Dube amethibitisha hili
Sababu za kujifariji hizo hata kwenye kanga zipo, hizo team zinapewa hela ili zisifungwe na simba?, team hizo zinapewa hela ili zimfunge simba?, nini kinasababisha simba asipate point 3 kila mechi. Basi hata simba anapewa hela mbona alifungwa na huyohuyo mtoa hela
 
Ndoto na denial

Kukiwasha ni uwezo na sio hamasa

Je kuna wachezaji wenye uwezo ?

Au chama?

Na
Beki na makipa yenu yalivyo wamchongo lol

Ninachoona mkijitahiid sana ni kupunguza magol tu from 5 to 2
Subili uone mkuu
 
TFF na Board ya league isipofuata huu ushauri tutegemee kuporomoka kwa league yetu.
Huu upinzani sio halisi kabisa. Prince Dube amethibitisha hili
Hii ni mind game na denial ambayo Simba wanajificha nyuma yake hata huko kimataifa anaposema wanafanya vema walingoja hadi mechi ya mwisho ndio wapite washukuru kazi kubwa aliyofanya Jwanengy pale Mo 5 bila hivyo wangekuwa hoi bin taabani
 
Back
Top Bottom