mwalukuni mchanyato
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 404
- 230
Ukishaandika hivi mwenyewe unafurahiiiiii moyo mweupeeeeee unaona kabisa simba ashashindaNimeona nilete kwenu huu utabiri niliouna kutokana na usajili nganga ngingi aloufanya Simba kupitia usimamizi mahiri wa boss Mo.
Safari hii hadi Mohamed Husein"Shabalala" ameletewa chalenge.
Yanga baibai kuchukua vikombe.Safari hii mtakiona cha kukiona.Mtajuta kuwafahamu Simba.
Rudi kwa mganga wako tena mwambie arudie tena kukufanyia utabiri maana amejudanganyaNimeona nilete kwenu huu utabiri niliouna kutokana na usajili nganga ngingi aloufanya Simba kupitia usimamizi mahiri wa boss Mo.
Safari hii hadi Mohamed Husein"Shabalala" ameletewa chalenge.
Yanga baibai kuchukua vikombe.Safari hii mtakiona cha kukiona.Mtajuta kuwafahamu Simba.
Ujinga huu haupaswi kuaminiwa na wanasimba hadi game zianze.Nimeona nilete kwenu huu utabiri niliouna kutokana na usajili nganga ngingi aloufanya Simba kupitia usimamizi mahiri wa boss Mo.
Safari hii hadi Mohamed Husein"Shabalala" ameletewa chalenge.
Yanga baibai kuchukua vikombe.Safari hii mtakiona cha kukiona. Mtajuta kuwafahamu Simba.
Kuna watu mna wivu wa kijinga sana, umeona okwi boban sunzu uzu wake umepata wachangiaji wengi basi na wewe umeamua mapema uje na uzi wa stle ileile ili na wewe upate wachangisji wengi no matter michango yao itakuwajw.Nimeona nilete kwenu huu utabiri niliouna kutokana na usajili nganga ngingi aloufanya Simba kupitia usimamizi mahiri wa boss Mo.
Safari hii hadi Mohamed Husein"Shabalala" ameletewa chalenge.
Yanga baibai kuchukua vikombe.Safari hii mtakiona cha kukiona. Mtajuta kuwafahamu Simba.
Wewe mwandishi ni miongoni mwa wale ambao huwa mnazimia uwanjani. Kwa uandishi huu utakufa kwa presha.Nimeona nilete kwenu huu utabiri niliouna kutokana na usajili nganga ngingi aloufanya Simba kupitia usimamizi mahiri wa boss Mo.
Safari hii hadi Mohamed Husein"Shabalala" ameletewa chalenge.
Yanga baibai kuchukua vikombe.Safari hii mtakiona cha kukiona. Mtajuta kuwafahamu Simba.
Zingwe ndo Nani tena [emoji3061]unajua sio utani [emoji848]??
zingwe, Fredy, lakred na malone wanaweza kukaa benchi. zingwe anacheza kama lomalisa wasteful of position. malone kwa bacca au dickson [emoji2379]. fredy kwa dube na mzize, may be, lakred may be.
Kapagawa huyuZingwe ndo Nani tena [emoji3061]
Chama mzee halafu ni konokono labda kama umesahau.Chama, pacome, Aziz, max, Dube, alafu wapaki basi. Basi hiyo team itachukuwa champions. Mwaka hizo tano, tano naziona nyingi
CC: RageNimeona nilete kwenu huu utabiri niliouna kutokana na usajili nganga ngingi aloufanya Simba kupitia usimamizi mahiri wa boss Mo.
Safari hii hadi Mohamed Husein"Shabalala" ameletewa chalenge.
Yanga baibai kuchukua vikombe.Safari hii mtakiona cha kukiona. Mtajuta kuwafahamu Simba.
Huu Uzi utatumika kama risiti Cc ephen_Nimeona nilete kwenu huu utabiri niliouna kutokana na usajili nganga ngingi aloufanya Simba kupitia usimamizi mahiri wa boss Mo.
Safari hii hadi Mohamed Husein"Shabalala" ameletewa chalenge.
Yanga baibai kuchukua vikombe.Safari hii mtakiona cha kukiona. Mtajuta kuwafahamu Simba.
Naunga mkono hojaHawachelewi kukimbia hawa