mwalukuni mchanyato
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 404
- 230
Nimeona nilete kwenu huu utabiri niliouna kutokana na usajili nganga ngingi aloufanya Simba kupitia usimamizi mahiri wa boss Mo.
Safari hii hadi Mohamed Husein"Shabalala" ameletewa chalenge.
Yanga baibai kuchukua vikombe.Safari hii mtakiona cha kukiona. Mtajuta kuwafahamu Simba.
Safari hii hadi Mohamed Husein"Shabalala" ameletewa chalenge.
Yanga baibai kuchukua vikombe.Safari hii mtakiona cha kukiona. Mtajuta kuwafahamu Simba.