Yanga msimwangushe Rais Samia jamani tupate tumwagilie. Magoli ya kutosha leo

Yanga msimwangushe Rais Samia jamani tupate tumwagilie. Magoli ya kutosha leo

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kwa jinsi ilivyooo

Naamini haitatuaibisha kama simba jana ile n aibu 3-0 na hela.Iko mezani

Naomba tujitahidi magoli jaman na kama kaushindi kanawezekana mfanye hivyo kumpa nguvu raisi wetu nxtym.Atuwekee mil 10+ kila goli kama. Morali
 
Tupate hata goli moja tuibebe mil 5
 
Pdidy ana Masters mjue (shahada yapili)

Marufuku kuhoji mwandiko wake
 
Wewe jamaa tulishakuambia kabisa huu muda ungerudi darasani kujifunza KKK ungekuwa ushajua kuandika. Aibu sana ndugu yetu Pdidy
 
Wewe jamaa tulishakuambia kabisa huu muda ungerudi darasani kujifunza KKK ungekuwa ushajua kuandika. Aibu sana ndugu yetu Pdidy
Wakimalzaakaziii tp mazembe
Leo tunajambo letuuuuuuuuu
 
Hatuwezi kukosa vyote. Yani tukose ushindi, alafu na hela za Bi Mkubwa nazo tukose? Hapana. Tunachukua kimoja wapo, au vyote!

Sisi sio Makolo!
 
Back
Top Bottom