Yanga msipoteze muda kuwajibu wapuuzi, mechi ya Namungo VS Simba leo imemaliza kelele zote, toeni vichapo bila kumuangalia anayebweka!

Tutahakikisha GSM utopolo tu,hatakaa kwa amani kabisa atajiondoa mwenyewe au kuondolewa na TFF
🀣🀣🀣 Hongera kabisa mangungu mitano Tena!
 
Sukari imepanda sana
 
Mnalazimisha mpate sababu ya kuendeleza uhuni wenu. Sisi tunapiga GSM mkuu na shoga zake wote
Uhuni tumeouona dhahiri Leo
GSM ni lidude wewe kapuku utaandika upuuzi wako yeye ataendelea kutangaza bidhaa zake
 
Tutahakikisha GSM anadhamini utopolo tu,hatakaa kwa amani kabisa atajiondoa mwenyewe au kuondolewa na TFF
GSM asikae Kwa amani na pesa anazo
Kisa wewe unaandika comments Jamii forums
Kweli Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
 
Wenye akili ni wawili nye wapiga kelele mnajisumbua
Na wale mbumbumbu je unawaweka kundi Gani? Pale ukoloni ata mwehu anaweza kuongoza kwa kuwa ni mbumbumbus family!
 
Wewe usitupotezee muda,,lile shimo lililokutoa wewe na kukuleta duniani ndio shimo ilo na sio kingine!
Oooh jana ulijaza nyuzi za kudai Namungo ni tawi la Simba, leo unalialia maamuzi ya refa.

Nilijaribu kukuelewesha ukakaza shingo, ona unavyoaibika sasa.
 
Na wale mbumbumbu je unawaweka kundi Gani? Pale ukoloni ata mwehu anaweza kuongoza kwa kuwa ni mbumbumbus family!
Ile ni Taasisi kubwa wenye akili wapo kibao huko wapo wawili nashangaa unapata ujasiri wapi wakati huna akili
 
Oooh jana ulijaza nyuzi za kudai Namungo ni tawi la Simba, leo unalialia maamuzi ya refa.

Nilijaribu kukuelewesha ukakaza shingo, ona unavyoaibika sasa.
Daah kweli Rage ajengewe mnara,,niaibike kwa lipi bwana kolo? Kwa kupata ushindi wa refa au kwa lipi?
 
Uhuni tumeouona dhahiri Leo
GSM ni lidude wewe kapuku utaandika upuuzi wako yeye ataendelea kutangaza bidhaa zake
Waziri mwenye dhamana alikuwepo uwanjani. Tutegemee adhabu kali dhidi ya Simba ndani ya masaa 24.
 
Daah kweli Rage ajengewe mnara,,niaibike kwa lipi bwana kolo? Kwa kupata ushindi wa refa au kwa lipi?
Kwa hiyo ni refa tena siyo Mgunda πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£ Upuuzi unaandika wewe aibu naona mimi
 
Kwa hiyo ni refa tena siyo Mgunda πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£ Upuuzi unaandika wewe aibu naona mimi
Wewe kenua tu risiti natunza ole wako uje kubweka hapa kama mbwa kichaa utaisoma namba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…