tungatagaga
Senior Member
- Aug 18, 2024
- 187
- 225
Eti kocha wa namungo asema refa akichezesha vizuri au vibaya kwake sawa tu. Utabiri umetimia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shirikisho hata Namungo, Biashara united, Mbao,Mtibwa na Coast zimechezaTimu kubwa ni zile zilizoingi robo fainali club Bingwa na shirikisho wengine hamna tofauti na Ken gold...
Timu mbovu zotee zimefurushwa...
Zimebaki majayanti pekee top 10 CAF ranks...
Hata Utopolo ilipitia hukoShirikisho hata Namungo, Biashara united, Mbao,Mtibwa na Coast zimecheza
Hilo tunajua na ndiyo tumekuwa tunasema. Tuambieni jingine ambalo hatujui. Tunajiandaa kuona mnaruka ukuta, kuiba mataulo ya makipa na mambo kama hayo.SIO waanzilishi TU ....YANGA ndio watawala wa fitna MJIANDAE
YANGA
We unayeweza mbona haujashinda mechi zote?Twende na fitina tu
Si ligi haina mwenyewe
Uwanjani hamwezi mnahonga marefa
Yanga ilipita zamaniHata Utopolo ilipitia huko
Kwa kuwa Karia mkewe ni muajiriwa wa GsM mdio maana anafumbia macho upuuzi wenu. Hakuna ligi duniani ambayo mwekezaji na muendeshaji wa timu moja (Yanga) anadhamini timu nyingine( ambazo kimsingi ni wapinzani) wa timu anayoiendesha yeye na kupigania mafanikio yake (Yanga) zaidi ya hapa Tanzania.Mambo yako dhahiri TFF wanataka makolo wawe mabingwa
Wakati Yanga anacheza hiyo michuano yeye naye alikuwa mama!? Au mwanaume shoga!?Kumbe unajua kwamba yanafutwa but nati tu ndio zinalegea kichwani,,icho kikosi unachotuwekea yanga alishapita uko ebu kaangalie kikosi cha wiki cha caf kuanzia robo fainali mpaka fainali yanga alikuwa anaingiza wachezaji wangapi kwenye iyo wamama cup uliyopo,,Yani robo tu unarukaruka maskini!
GSM sio mmiliki wa YangaKwa kuwa Karia mkewe ni muajiriwa wa GsM mdio maana anafumbia macho upuuzi wenu. Hakuna ligi duniani ambayo mwekezaji na muendeshaji wa timu moja (Yanga) anadhamini timu nyingine( ambazo kimsingi ni wapinzani) wa timu anayoiendesha yeye na kupigania mafanikio yake (Yanga) zaidi ya hapa Tanzania.
Huu upuuzi tunauona mnatuona sisi Wadau wa Simba wajinga. Hamna akili wapumbavu wa Yanga nyie.
Wewe kumbe unafuatilia ligi lakini huna unalolijua. Azam anaendesha Azam fc na hakuna timu anatoidhamini. Kama ni malipo ya Tv huo ni udhamini wa Azam Media na bodi ya ligi. Kwa hiyo hapo hakuna namna Azam anakutana menejimenti na timu yoyote ya ligi Kuu. Hakuna.GSM sio mmiliki wa Yanga
Yanga ni timu ya Wanachama
Azam anadhamini timu zote na ana timu kwenye ligi
Lodhia anadhamini timu ngapi
Mbet anadhamini timu ngapi
Meridian bet anadhamini timu ngapi
Pm bet anadhamini timu ngapi
Asas anadhamini timu ngapi sportpesa anadhamini timu ngapi
Fly Emirates anadhamini PSG na Nantes ufaransa
Fly Emirates anadhamini Arsenal, Ac Milan, Madrid, PSG, n.k na zote zinacheza UEFA
Fuatilia Qatar airways ana timu ngapi
Sportfy anadhamini timu ngapi
Mtakuwa mbumbumbu hadi lini lini?
Yanga na Simba hakuna wa kumsema mwenzie wote ni wale wale, watoto wa baba mmoja na mama mmoja, ndio waharibifu wakuu wa ligi hiiYanga msiendelee kupoteza mda wenu kujibizana na wapuuzi kama wachambuzi ambao baadhi yao tunajua wako kwenye payroll ya Mhindi!
Kilichotokea Leo pale Ruangwa Kila mtu kaona kwaiyo msicheke na nyani endeleeni kutoa vichapo kivyovyote ilimradi point 3 ziingie kapuni,,
Tutaendelea kukusanya point popote pale na kwa njia zozote zile kwakuwa Hawa mbumbumbu wanatingisha mzinga wa nyuki kwa kujifanya wanaweza fitina but hapa yanga ndio fitina zimezaliwa!
Kwakuwa TFF imebariki hiki kinachoendelea kwa marefa basi ngoja tupimane ubavu alafu tuone nani mshindi!
Soma Pia: FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025
Tushaingia kazini na tunawachora tu vilio vitakuwa vikubwa kuliko na wabwekaji watakuwa wengi siku sio nyingi!
Kwasasa kukenua na kufurahia ushindi dhidi ya Namungo kwa njia haramu ni juu yenu but tunahitaji muendelezo wa kukenue kwenye mechi za yanga pia akiwa anapata ushindi wake pia!
Tunawapongeza kwa kufurahia lakini mjiandae!
maelezo ya kapteni wa namungo anasema alimuuliza refa shida nini refa akasema kaona ateba kapigwaPenati zote zilikuwa halali,kadi nyekundu sijui nini kilitokea!Huenda refa aliona kitu kikitendwa dhidi ya Ateba!
We kweli mbumbumbuWewe kumbe unafuatilia ligi lakini huna unalolijua. Azam anaendesha Azam fc na hakuna timu anatoidhamini. Kama ni malipo ya Tv huo ni udhamini wa Azam Media na bodi ya ligi. Kwa hiyo hapo hakuna namna Azam anakutana menejimenti na timu yoyote ya ligi Kuu. Hakuna.
Halafu acha kuwaona watu wapumbavu kama ulivyo wewe. Gsm ndiye anaendesha Yanga hata kama klabu ni ya wanachama. Leo Yanga isipofanya vizuri GSM ndiye atakayepewa lawama kwa kuwa ndiye aliyekabidhiwa timu. Kwa hiyo uhusiano wa gsm na klabu nyingine za ligi kuu wa kuidhamini huo ni ufisadi wa mchana kweupe kwani hao anaowadhamini ni wapinzani wa Yanga ambayo yeye nanapigania mafanikio yake ili wanachama waendelee kumuamini.
Kama Gsm kweli anataka kudhamini timu, afanye hivyo kwa timu za madaraja ya chini na sio ligi kuu. Halafu tofautisha kudhamini ligi na kuendesha timu mojawapo katika ligi. Mbet anaweza dhamini timu hata tano, ili mradi hakuna timu anayoiendesha kwenye ligi. Hata Gsm agekuwa hana timu anayoiendesha kwenye ligi wala isingekuwa tatizo yeye kudhamini timu anazidhamini hii leo.
Huna ulijualo kumbe, Azam hawezi kuongea na menejimenti ya Coastal union lakini Gsm anaongea na menejimenti ya Coastal. Azam media inalipa bodi ya ligi ambayo ndio inagawanya fedha za udhamini wa Tv kwa vilabu. Lakini hii leo gsm anawalipa Coastal pesa za udhamini.We kweli mbumbumbu
Yaani unaotenganisha Azam media na Azam FC, hujui kuwa hizi ni mali za Bakhresa
Unasema Azam anakutana na bodi ya ligi, hujui kuwa bodi ya ligi ndo mwakilishi wa vilabu yaani anabeba maoni na matakwa ya vilabu
GSM haimiliki Yanga, Yanga ni timu ya Wanachama
GSM yupo Yanga kudhamini ni mkataba adhamani apate faida na Yanga ipate
Kama mnataka udhamini wa GSM muite atie pesa Kwa 5imba
Sisi Yanga hatubagui hela kesho mwambie mo aleta pesa ya kueleweka tutavaa tangazo lake la viberti
Bodi ya ligi ni mwakilishi wa vilabuHuna ulijualo kumbe, Azam hawezi kuongea na menejimenti ya Coastal union lakini Gsm anaongea na menejimenti ya Coastal. Azam media inalipa bodi ya ligi ambayo ndio inagawanya fedha za udhamini wa Tv kwa vilabu. Lakini hii leo gsm anawalipa Coastal pesa za udhamini.
Ndio maana soka lina sheria zake ili kulinda ushindani na kupunguza uwezekana wa kupanga matokeo. Kwa kifupi mwekezaji wa Manchester United haruhusiwi kudhamini Chelsea hata kama ananpesa nyingi za kuchezea. Hili soka lenu la wizi endeleeeni kujidanyanya nalo.Bodi ya ligi ni mwakilishi wa vilabu
Kwaiyo wewe mbunge wako akileta kisima cha maji, hutajua kuwa mtoa maji ni serikali sio mbunge
GSM akienda kudhamini ligi Nia yake ni kutangaza bidhaa zake ili timu zifaidike na yeye biashara yake iuze sokoni
GSM hawezi kugawa pesa wala hatoi hongo
Kwani huonagi mabango ya GSM barabarani, huonagi matangazo ya GSM kwenye magazeti au tv,
GSM amedhamini marathon na event ngapi za stand up comedy?
GSM ana mabalozi watu maarufu wengi wanatangaza bidhaa zake
Kwaiyo kote huko anahonga ili Yanga ishinde, Yan GSM ampe Maulid Kitenge au Milard ayo pesa ili Yanga ishinde
GSM ni mfanyabiashara Yeye laZima atangaze bidhaa zake
Msiwe mbumbumbu,
Usiwe layman unaongea kama upo Buguruni kwenye kahawaNdio maana soka lina sheria zake ili kulinda ushindani na kupunguza uwezekana wa kupanga matokeo. Kwa kifupi mwekezaji wa Manchester United haruhusiwi kudhamini Chelsea hata kama ananpesa nyingi za kuchezea. Hili soka lenu la wizi endeleeeni kujidanyanya nalo.
NMB na Gsm ni vitu viwili tofauti. Gsm amekabidhiwa Yanga na wananchama aiendeshe ipate mafanikio, kwa hiyo kudhamini klabu nyingine huo ni ufisadi kwani hao anaowadhamini ni wapinzani wa Yanga ambayo yeye kakabishiwa apigania mafanikio yake. Huu wizi upo Tanzania tu. Lete mfano wa kitu hiki kwenye ligi nyingine.Usiwe layman unaongea kama upo Buguruni kwenye kahawa
GSM pale Yanga ni mdhamini tu, yupo Kwa mkataba na muda ukiisha anaweza kuondoka akaja Mo akawekeza na akakubaliwa
Main sponsor wa Yanga ni sportpesa
Sponsors wengine ni
NIC insurance
crdb
Nmb
Afya water
Taifa gas
Whizom
Na kampuni zaidi ya 30 zinaweka pesa Yanga
GSM alikabidhiwa Yanga lini?NMB na Gsm ni vitu viwili tofauti. Gsm amekabidhiwa Yanga na wananchama aiendeshe ipate mafanikio, kwa hiyo kudhamini klabu nyingine huo ni ufisadi kwani hao anaowadhamini ni wapinzani wa Yanga ambayo yeye kakabishiwa apigania mafanikio yake. Huu wizi upo Tanzania tu. Lete mfano wa kitu hiki kwenye ligi nyingine.
Bro umesahau chenji yako🤣🤣Yanga msiendelee kupoteza mda wenu kujibizana na wapuuzi kama wachambuzi ambao baadhi yao tunajua wako kwenye payroll ya Mhindi!
Kilichotokea Leo pale Ruangwa Kila mtu kaona kwaiyo msicheke na nyani endeleeni kutoa vichapo kivyovyote ilimradi point 3 ziingie kapuni,,
Tutaendelea kukusanya point popote pale na kwa njia zozote zile kwakuwa Hawa mbumbumbu wanatingisha mzinga wa nyuki kwa kujifanya wanaweza fitina but hapa yanga ndio fitina zimezaliwa!
Kwakuwa TFF imebariki hiki kinachoendelea kwa marefa basi ngoja tupimane ubavu alafu tuone nani mshindi!
Soma Pia: FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025
Tushaingia kazini na tunawachora tu vilio vitakuwa vikubwa kuliko na wabwekaji watakuwa wengi siku sio nyingi!
Kwasasa kukenua na kufurahia ushindi dhidi ya Namungo kwa njia haramu ni juu yenu but tunahitaji muendelezo wa kukenue kwenye mechi za yanga pia akiwa anapata ushindi wake pia!
Tunawapongeza kwa kufurahia lakini mjiandae!