CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
HaABARI WAKUU.
Leo kwenye mkutano mkuu wa CAF uliofanyika jijini Arusha. Na kuudhuliwa na kiongozi mkuu wa Fifa Giant El Fantinho. Viongozi wa CAF Motsepe nk.
Waziri mkuuu amemkaribisha RAIS WA FIFA kushuhudia Mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Simba na Yanga utakaochezwa August 13 jijini Dar es salaam.
VIONGOZI WA YAANGA MSITUAIBISHE KWA YAFUATAYO.
1. Msiruhusu kujadili migogoro yenu na TFF Kwa viongozi wa CAF NA FIFA.nimesikia msemaji wenu aliyefungiwa akiomba kuonana na viongozi wa CAF na FIFA.
2. CAF super league inaziduliwa Leo na Simba anaweza kushiriki kwa sababu ni mkubwa kuliko nyie MSIJE kuanza kuichukia CUF. Na Simba atapata Bilioni 8 kama sehemu ya maandalizi.
3. Tunaomba mdiruke ukuta kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii.
Miaka yote mi 4 mmekuwa watu wa kuruka ukuta kupita milango isiyo ruhusiwa nk.
YANGA MSITUDHALILISHE TAFADHALI.
Leo kwenye mkutano mkuu wa CAF uliofanyika jijini Arusha. Na kuudhuliwa na kiongozi mkuu wa Fifa Giant El Fantinho. Viongozi wa CAF Motsepe nk.
Waziri mkuuu amemkaribisha RAIS WA FIFA kushuhudia Mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Simba na Yanga utakaochezwa August 13 jijini Dar es salaam.
VIONGOZI WA YAANGA MSITUAIBISHE KWA YAFUATAYO.
1. Msiruhusu kujadili migogoro yenu na TFF Kwa viongozi wa CAF NA FIFA.nimesikia msemaji wenu aliyefungiwa akiomba kuonana na viongozi wa CAF na FIFA.
2. CAF super league inaziduliwa Leo na Simba anaweza kushiriki kwa sababu ni mkubwa kuliko nyie MSIJE kuanza kuichukia CUF. Na Simba atapata Bilioni 8 kama sehemu ya maandalizi.
3. Tunaomba mdiruke ukuta kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii.
Miaka yote mi 4 mmekuwa watu wa kuruka ukuta kupita milango isiyo ruhusiwa nk.
YANGA MSITUDHALILISHE TAFADHALI.