Yanga mtutake radhi sisi wazee Wafupi

Yanga mtutake radhi sisi wazee Wafupi

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Ni kwanini suala la kuzuiliwa timu ya Simba kuingia uwanja wa taifa eti sababu mojawapo ni kuonekana kwa wazee wafupi kwenye magari.

Kwani wazee wafupi wana shida gani . Nimetafakari sana hata sipati jibu.

Ni vema uongozi wa Yanga kwa niaba ya timu na Mashabiki wao WATUOMBE MSAMAHA SISI WAZEE WAFUPI. Vinginevyo tunawapeleka Mahakamani.

Halafu mbona sisi tupo vizuri tu. Hata hapa mtaani kwetu kimaendeleo nimewazidi warefu wengi tu, hata kipindi nasoma nilikuwa najua Hesabu kuliko warefu
 
Timu inasajili hovyo kwenye mechi mnaanza kuhangaika na wazee wafupi walio beba mbuzi.
Mta dhalilika mpaka lini!!

Tumieni vizuri madirisha ya usajili ili kwenye mechi msiwe mna timua mbio.
 
Timu inasajili hovyo kwenye mechi mnaanza kuhangaika na wazee wafupi walio beba mbuzi.
Mta dhalilika mpaka lini!!

Tumieni vizuri madirisha ya usajili ili kwenye mechi msiwe mna timua mbio.
Wachezaji hawa wabovu wanacheza na Al masry wachezaji wazuri wanawinda mbuzi geti la uwanja wa taifa.MNGEKUWA SHINYANGA ENZI HIZO VIKONGWE VINGEKOMA
 
Wachezaji hawa wabovu wanacheza na Al masry wachezaji wazuri wanawinda mbuzi geti la uwanja wa taifa.MNGEKUWA SHINYANGA ENZI HIZO VIKONGWE VINGEKOMA
Huyo ni mzee wa utopolo akili hana..wao usajil wao wameishia kukodi mabaunsa waje wawazuie Simba...aibu kabisa
 
Ni kwanini suala la kuzuiliwa timu ya Simba kuingia uwanja wa taifa eti sababu mojawapo ni kuonekana kwa wazee wafupi kwenye magari.

Kwani wazee wafupi wana shida gani . Nimetafakari sana hata sipati jibu.

Ni vema uongozi wa Yanga kwa niaba ya timu na Mashabiki wao WATUOMBE MSAMAHA SISI WAZEE WAFUPI. Vinginevyo tunawapeleka Mahakamani.

Halafu mbona sisi tupo vizuri tu. Hata hapa mtaani kwetu kimaendeleo nimewazidi warefu wengi tu, hata kipindi nasoma nilikuwa najua Hesabu kuliko warefu
Kwani Mzee Magoma ni mfupi au Mrefu?
 
Hivi mfano Mtu akaulizwa am describe watuhumiwa walikuwaje akasema ni vizee, vyeusi vifupi, ndio ametukana watu wafupi au wazee?
Mmetudgalilisha sana sisi wazee wafupi. Katika hili Nimewachukia sana Yanga.

Kwahiyo Joti na Harmonize wakizeeka watiliwe mashaka
 
Ni kwanini suala la kuzuiliwa timu ya Simba kuingia uwanja wa taifa eti sababu mojawapo ni kuonekana kwa wazee wafupi kwenye magari.

Kwani wazee wafupi wana shida gani . Nimetafakari sana hata sipati jibu.

Ni vema uongozi wa Yanga kwa niaba ya timu na Mashabiki wao WATUOMBE MSAMAHA SISI WAZEE WAFUPI. Vinginevyo tunawapeleka Mahakamani.

Halafu mbona sisi tupo vizuri tu. Hata hapa mtaani kwetu kimaendeleo nimewazidi warefu wengi tu, hata kipindi nasoma nilikuwa najua Hesabu kuliko warefu
Hebu acha hizo ww
 
Back
Top Bottom