Nani kakwambia mkataba huwa unatolewa hadharani weweKwanini Yanga msiutoe huo Mkataba wadau tuuone? Uongozi Umekomaa kusema mkataba upo TFF, kwani nyie hamna huo Mkataba?
GSM ni Janja janja, kwa Mwendo huu hata ule mkataba na La Liga uchunguzwe.
View attachment 1487463View attachment 1487464
Kwanini Yanga msiutoe huo Mkataba wadau tuuone? Uongozi Umekomaa kusema mkataba upo TFF, kwani nyie hamna huo Mkataba?
GSM ni Janja janja, kwa Mwendo huu hata ule mkataba na La Liga uchunguzwe.
View attachment 1487463
WANAONA AIBUView attachment 1487464
Kwa hiyo hata mhusika naye hajui mkataba ni wa muda gani?!!!Nani kakwambia mkataba huwa unatolewa hadharani wewe
Kwanini asijue wakati kasaini yeyeKwa hiyo hata mhusika naye hajui mkataba ni wa muda gani?!!!
Nashangaa sana aiseehizo tim zinazo mtaka si zije mezani zizungumze na Yanga? shida nini?
Ni lini mbumbumbu fc walitoa adharani mkataba wa wachezaji wao?Kwanini Yanga msiutoe huo Mkataba wadau tuuone? Uongozi Umekomaa kusema mkataba upo TFF, kwani nyie hamna huo Mkataba?
GSM ni Janja janja, kwa Mwendo huu hata ule mkataba na La Liga uchunguzwe.
View attachment 1487463View attachment 1487464
We unashangaa hilo?? Kacheza game kibao bila mkatabaDuhhh aiseee mkataba wa miez sita..,?
Kwa hiyo hata mhusika naye hajui mkataba ni wa muda gani?!!!
Nyie ndo mmesababisha avimbe kichwa amefungu ka goal ka moja tu ,then miezi 3 kwenye page za utopolo mnapost hako ka goal ,Huyu asituzingue,Yanga ni kubwa kuliko yeye,wamepita wachezaji wa maana kina Lunyamila hawakuwa na nyodo hizi,kale ka goli alikowafunga mikia kasimvimbishe kichwa
Sheria gani inazuia mkataba usionyeshwe?huo ni uamuzi wa mchezaji either kuonyesha hadharani u kutokuonyesha mkataba wake,mbona anaposainishwa mkataba anaonyeshwa akisainiNani kakwambia mkataba huwa unatolewa hadharani wewe
Tulieni dawa iwaingieHuyu asituzingue,Yanga ni kubwa kuliko yeye,wamepita wachezaji wa maana kina Lunyamila hawakuwa na nyodo hizi,kale ka goli alikowafunga mikia kasimvimbishe kichwa
Tulieni dawa iwaingie
alipopanda mpira mlimshsngilia sasa kawapanda kichwani mnaaza kumtukana
Kwanini asijue wakati kasaini yeye
hizo tim zinazo mtaka si zije mezani zizungumze na Yanga? shida nini?