Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 4,043
- 8,686
Kwanini Yanga msiutoe huo Mkataba wadau tuuone? Uongozi Umekomaa kusema mkataba upo TFF, kwani nyie hamna huo Mkataba?
GSM ni Janja janja, kwa Mwendo huu hata ule mkataba na La Liga uchunguzwe.
View attachment 1487463
GSM ni Janja janja, kwa Mwendo huu hata ule mkataba na La Liga uchunguzwe.
View attachment 1487463