joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Siku zote unajifunza kwa wenzetu walio endelea au unataka tuendelee na huu upuuzi wenu wa rangi za jezi.Wenzenu akina nani, na uliwahi kuwa nao wapi?
Hii ligi isha isha tufanye mengine! hio table ilivyo sasa ndio itakua hivyo mpka mwishoKwani ligi imemalizika? [emoji1787]
Hahaha ila we mwanamke hunaga makuu safi sana.Mi ukinipa navaa
Tumewaachia mikoba...Mazindiko FCNgada Fc aka vigagula FC mna tabu sana
Shida yako nini?Hivi sheria inasemaje juu ya uvaaji wa jezi aina moja home and away? Naona jamaa hawabadili jezi.
Simba hawashikiki